Msaada wakuu mtu amehack simu yangu

Msaada wakuu mtu amehack simu yangu

Utamu wakuchepuka noma 🙂, badili simu.
 
Naomba msaada wenu wataalamu wa haya mambo. Kuna mtu anapata meseji zangu ninazo wasiliana na watu iwe kwa WhatsApp au kawaida ila hajawahi kushika simu yangu hata kwa sekunde moja.
Hakuna kitu kama hiko. Lazima kashika simu yako au Snitch mwingine kashika kwa niaba yake
 
Teknolojia imeenda mbali sana

Kuna link ukitumiwa kwa sms, email, whatsapp nk, ukibofya tu simu yako ma kifaa chako unachotumia unakuwa umekabidhi kwa 'maharmia'

Yani kitendo cha kubofya tu, kwishney kila kitu.

Dunia upo uchi.

Watu wasijidanga ye kwa vpn, antivirus/malwares wala nini!

Tech imeshafika mbali sana.
 
Mkuu pole sanaa!!
Kuna ka app flani kanaitwa ‘
‘Android Phone control’
Haka ni hatari sadly kana kama mb 30..
Kanafanya kazi back ground kakiwa installed kwenye simu yako umekwisha coz ..
Kanakua kanatuma copy ya mawasiliano yote kutoka kwenye simu yako ilimradi uwashe data umekwisha na kakiwa kwenye simu yako hakaonekani…
Kuka access kuna digit flan unazipiga kanatokea mfano those days kalikua na code name DAX.. una dial 3299 then unacall kanafunguka.

Option zake ndani ni za kuogofya..
1. Kana record simu zote kwa majina uliosave kwenye simu yako kanatuma kwenye email ya mhusika..
2. Kanatuma Copy ya sms zote kwa majina kama ulivyosave kwenye simu yako.
3. Kana tuma hadi misscalls na email zote zinazoingia kwenye simu yako na
4. Kanatuma gps location ya simu ilipo …


Solution:

Kukatoa mkuu hako ni kufanya hard reset tu..
IMG_5979.jpg

Mfano wake huo apo
 
Mbona kama una hasira na mimi mkuu shida nini?
Sasa unatuletea ngonjera za kuwa hacked. Una nini cha mno hadi uwe hacked? Huo ni upuuzi mumewekeana kwenye simu zenu afu unasema your hacked. Do you think hacking is that cheap?
Acha utoto mkuu.
 
Mkuu pole sanaa!!
Kuna ka app flani kanaitwa ‘
‘Android Phone control’
Haka ni hatari sadly kana kama mb 30..
Kanafanya kazi back ground kakiwa installed kwenye simu yako umekwisha coz ..
Kanakua kanatuma copy ya mawasiliano yote kutoka kwenye simu yako ilimradi uwashe data umekwisha na kakiwa kwenye simu yako hakaonekani…
Kuka access kuna digit flan unazipiga kanatokea mfano those days kalikua na code name DAX.. una dial 3299 then unacall kanafunguka.

Option zake ndani ni za kuogofya..
1. Kana record simu zote kwa majina uliosave kwenye simu yako kanatuma kwenye email ya mhusika..
2. Kanatuma Copy ya sms zote kwa majina kama ulivyosave kwenye simu yako.
3. Kana tuma hadi misscalls na email zote zinazoingia kwenye simu yako na
4. Kanatuma gps location ya simu ilipo …


Solution:

Kukatoa mkuu hako ni kufanya hard reset tu..
View attachment 2374729
Mfano wake huo apo
Oh asante sana mkuu
 
Sasa unatuletea ngonjera za kuwa hacked. Una nini cha mno hadi uwe hacked? Huo ni upuuzi mumewekeana kwenye simu zenu afu unasema your hacked. Do you think hacking is that cheap?
Acha utoto mkuu.
Hakuna haja ya kureact kiasi hicho boss, sio mtaalamu wa IT ndio mana nimekuja kuuliza hapa ilitakiwa tu unielekeze.
 
Back
Top Bottom