Zabron Hamis
JF-Expert Member
- Dec 19, 2016
- 6,511
- 10,417
Hii haipo playstoreMkuu pole sanaa!!
Kuna ka app flani kanaitwa ‘
‘Android Phone control’
Haka ni hatari sadly kana kama mb 30..
Kanafanya kazi back ground kakiwa installed kwenye simu yako umekwisha coz ..
Kanakua kanatuma copy ya mawasiliano yote kutoka kwenye simu yako ilimradi uwashe data umekwisha na kakiwa kwenye simu yako hakaonekani…
Kuka access kuna digit flan unazipiga kanatokea mfano those days kalikua na code name DAX.. una dial 3299 then unacall kanafunguka.
Option zake ndani ni za kuogofya..
1. Kana record simu zote kwa majina uliosave kwenye simu yako kanatuma kwenye email ya mhusika..
2. Kanatuma Copy ya sms zote kwa majina kama ulivyosave kwenye simu yako.
3. Kana tuma hadi misscalls na email zote zinazoingia kwenye simu yako na
4. Kanatuma gps location ya simu ilipo …
Solution:
Kukatoa mkuu hako ni kufanya hard reset tu..
View attachment 2374729
Mfano wake huo apo