Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 644
Wakuu msaada naombeni ushauri lengo langu kusoma Mchepuo wa pcb kwa sasa nasubiria post nijiunge na kidato cha tano ila kuna feedback nimekuwa nikipewa ya kuwa haujasoma tuition hasa kwa shule za goverment inakucost kwa kuwa hamna walimu sasa ninaomba msaada wa ushauri juu ya usomaji wa Mchepuo hili niweze faulu vizuri