Msaada wakuu kwa waliosoma advance

Msaada wakuu kwa waliosoma advance

Pure Scientific

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2015
Posts
716
Reaction score
644
Wakuu msaada naombeni ushauri lengo langu kusoma Mchepuo wa pcb kwa sasa nasubiria post nijiunge na kidato cha tano ila kuna feedback nimekuwa nikipewa ya kuwa haujasoma tuition hasa kwa shule za goverment inakucost kwa kuwa hamna walimu sasa ninaomba msaada wa ushauri juu ya usomaji wa Mchepuo hili niweze faulu vizuri
 
Fanya survey ya shule ulizojaza PCB zikoje kiujumla then utapata jibu..
 
Mdogo wangu jitahidi ukusanye vitabu vya kutosha. Jibane ununue vitabu vingi halafu advance ili ufaulu vizuri capture topic mhimu mapema iwezekanavyo then anza kucheza na format ya mtihani utatusua tu.
Hakikisha unapiga organic chemistry yote na uielewe mapema. Tafuta kitabu kimoja kinaitwa Raymond chang seventh edition (sina hakika na hili kuhusu edition) kilinisaidia sana kwenye inorganic chemistry.
Advance topic ni ndefu masomo yote juhudi zako ndo kufaulu kwako.
 
Mdogo wangu jitahidi ukusanye vitabu vya kutosha. Jibane ununue vitabu vingi halafu advance ili ufaulu vizuri capture topic mhimu mapema iwezekanavyo then anza kucheza na format ya mtihani utatusua tu.
Hakikisha unapiga organic chemistry yote na uielewe mapema. Tafuta kitabu kimoja kinaitwa Raymond chang seventh edition (sina hakika na hili kuhusu edition) kilinisaidia sana kwenye inorganic chemistry.
Advance topic ni ndefu masomo yote juhudi zako ndo kufaulu kwako.
Asante kwa ushauri broo
 
Kama unajiweza kata baadhi ya topics hasa physics coz topic zake ni nyingi sana,kama huwezi gharama za mtaani kwa sasa, kusanya hela piga hata vibarua shuleni wanapitaga walimu kufundisha kwa bei rafiki kidogo.Kumaliza topics mapema itakusaidia sana ufanye maswali mengi mapema.Ukishindwa kabisa usijali unaweza kupata shule ambayo wanafundishafundisha ila nyingi wanaashum wote wamepiga tuition.All the best
 
Kama unajiweza kata baadhi ya topics hasa physics coz topic zake ni nyingi sana,kama huwezi gharama za mtaani kwa sasa, kusanya hela piga hata vibarua shuleni wanapitaga walimu kufundisha kwa bei rafiki kidogo.Kumaliza topics mapema itakusaidia sana ufanye maswali mengi mapema.Ukishindwa kabisa usijali unaweza kupata shule ambayo wanafundishafundisha ila nyingi wanaashum wote wamepiga tuition.All the best
Daah mkuu Asante kwa ushauri japo unatisha
 
Nenda kasome mwezi mmoja wa kwanza..ukiona sio badili mapema
Usichelewe kwa sasa usisikie sana ya watu lakini kashuhudie mwenyewe kwa mwezi mmoja...ukiona sio usisubiri kabisa piga CBG baada ya huo mwezi wa kwanza
Ila ukiona mazingira ya shule na spidi yako vinaruhusu baki PCB
 
Nenda Tuition Mdogo Wangu! PCB sio Masihala!! Mim Ni Muanga Wa Hayo Mambo! Nilitoka Form 4 Na Phys B! Chem A! Bios B! Shule Ya Kata Nikajiona Mtabe Sikwenda Tuit! A Level Nikapata E Mbil 2 Ya Bio Na Chem! Nikarud Kusoma Diploma Ya CO!! Jamaa Asikudanganye Mtu! Hao TO wa PCB walikaza Tuit! At Last Kama Unataka Kufaulu PCB Kiukwel Nenda Tuit, Acha Mademu, Solve A Lot Of Quiz, Cooperate With Others. Best Wishes
 
Wakuu msaada naombeni ushauri lengo langu kusoma Mchepuo wa pcb kwa sasa nasubiria post nijiunge na kidato cha tano ila kuna feedback nimekuwa nikipewa ya kuwa haujasoma tuition hasa kwa shule za goverment inakucost kwa kuwa hamna walimu sasa ninaomba msaada wa ushauri juu ya usomaji wa Mchepuo hili niweze faulu vizuri
Kiukweli PCB ni moja ya combination nzuri sana! its direct to professionalism! Ukitaka kupata kitu ambacho hujawahi kupata, itakubidi ufanye kitu ambacho hujawahi kufanya!
tuition ni lazima hasa Physics huwa ni bishi sana! nakushauri kama tuition nenda ya physics mengine kakomae na notes! lazima uwe na akili ya kujituma! ni rahisi sana kupata 0 na nirahisi zaidi kupata 1 or 2!! best wishes
 
Back
Top Bottom