'Msaada Wakuu:Black screen kwenye PC nikiiwasha solution please'

NDUKI

JF-Expert Member
Jan 19, 2013
3,423
2,414
'salaam salaam wakuu..................natumai mu-wazima kabisa,nna tatizo limejitokeza kwenye PC yangu nikiiwasha tu inaonesha "BLACK SCREEN" then after few seconds ina-display msg inayosema "Auto Adjust In Progress" then inakata inakuja "BLACK SCREEN" nikajaribu kubadili monitor kwenye machine nyingine lakini hivyo hivyo tu ila sijachukua monitor nyingine kuweka kwenye machine yangu lakini kama ingekuwa tatizo ni machine nilivyoweka monitor kwenye machine nyingine ingewaka lakini monitor haikuwaka kwenye machine nyingine sasa sjajua tatizo ni hiyo monitor au laa wakuu yani hai-display chochote wala,msaada wakuu'
 
Kama hata baada ya kuihamisha monitor kwenda machine nyingine na bado haiku-display chochote, basi tatizo lipo kwenye hiyo monitor, huenda cables zake zime-loose. Muite fundi aliyekaribu nawe.
 
Tatizo linaweza kuwa VGA card on board. jaribu kuweka VGA PCI CARD inaweza kukubali. au nichek 0716-844978
 
Tatizo linaweza kuwa VGA card on board. jaribu kuweka VGA PCI CARD inaweza kukubali. au nichek 0716-844978

'ooh okay,ngoja nijaribu ku-check iyo kitu then ntakujulisha kiongozi thanx in advance'
 
Kama hata baada ya kuihamisha monitor kwenda machine nyingine na bado haiku-display chochote, basi tatizo lipo kwenye hiyo monitor, huenda cables zake zime-loose. Muite fundi aliyekaribu nawe.

'cable zake zipo vizuri tu mkuu na ndo mana kuna kipindi inawaka na rangi inaonesha kidogo kisha inakata inarudi black tu inaandika "Auto Adjust In Progress" sasa nafkiri kama cable zingekuwa loose nadhani isingewaka hata kidogo na kuonesha chochote nafkiri mkuu'
 
'cable zake zipo vizuri tu mkuu na ndo mana kuna kipindi inawaka na rangi inaonesha kidogo kisha inakata inarudi black tu inaandika "Auto Adjust In Progress" sasa nafkiri kama cable zingekuwa loose nadhani isingewaka hata kidogo na kuonesha chochote nafkiri mkuu'

Jaribu kutumia hiyo pc monitor nyingine tofauti na hiyo, kama itawaka basi tatizo linaweza kuwa kwenye machine na urudi unijulishe.
 
Toa betri katika motherboard kaa kama dakika 5 halafu rejesha halafu unmbie
 
Kama haijakubali hebu angalia ktk mashine yako ina VGA card ngapi kuna île original iliyowekwa direct na wakati utakuta nyengine external imeweka (VGA card) kama ipo hiyo ichomoe na utumie hiyo iliyo direct halafu unipe jibu hilo tatizo lishawahu kunutokea na nikafanikiwa
 
Back
Top Bottom