Msaada wako please!

Nyalotsi

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
6,978
5,025
Kuna mtu anataka kuongeza jina ambalo halipo kwenye vyeti vyake vya shule. Hii anataka kuifanya kwenye ajira baada ya kugundua kuna mtu wako idara moja na majina yao ni yale yale.Ana birth certificate aliyoichukua kama miaka kumi iliyopita.inawezekana? Afate hatua zipi?
 
Aende kwa lawyer,atapata msaada wa kuongeza jina kisheria.inaruhusiwa akuna pingamizi
 
Back
Top Bottom