OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
Habari Great Thinkers,
Eti kuna ugumu gani, urahisi gani, faida gani na hasara gani kama nikitaka kwenda nchi za Asia kama Uarabuni, China, Japan kwa ajili ya kununua bidhaa za electric and electronics kama vile Laptops, Desktops, simu, camera, projectors nk kwa ajili ya kuja kuuza hapa Bongo?
Nawasilisha.
Eti kuna ugumu gani, urahisi gani, faida gani na hasara gani kama nikitaka kwenda nchi za Asia kama Uarabuni, China, Japan kwa ajili ya kununua bidhaa za electric and electronics kama vile Laptops, Desktops, simu, camera, projectors nk kwa ajili ya kuja kuuza hapa Bongo?
Nawasilisha.