Msaada wako: Hili nalo ni jipu

Msaada wako: Hili nalo ni jipu

Naomba nikulize mkuu na ikiwa nimekukera nisamehe, Ivi inakuwaje unatafuta ushauri bila kujua kosa nikitu gani au unashindwa kumuweka mkeo chini ukawa na serious talk? huyo rafiki kama ndugu kama umempelekea zawadi na amerejesha na kosa hulijui basi tulia umejitahidi kwa kadri ya uwezo wako au mpaka unataka akutemee mate au akupige vibao ndio ujue its OVER? huo uwoga sijui upole wa mkeo anakuvutia majanini kama muoga kweli angekwambia rafiki yako alivyotaka kufanya au alivyofanya na ukajua wapi umesimamia kama kuna kosa amesikia au kuna chochote
sasa akisema rafiki wengine sio wakuwaleta home ndio kamaanisha nini hapo? ana zidi kuku stress ukiwa kama mwanamme mwambie akueleze
ili ujue hapo sasa ndio utajua kama ndoa yako iko ICU au iko mwaisela....
 
Hizi ndoa zenu hizi....mhhhh!

Nitamwambia baba yangu ajiunge humu walau awe anatoa stori za kutia moyo.
 
Kwanza, huna ubakika kilichotokea kati yao

Ila inaonekana kama ameshamkula wife, afu tena wife ndo analazimishia, sasa jamaa anaona bora akae pembeni

Mbane mke wako, atakumwagia yote
 
kwa haraka haraka, mke wako alishawah kuwa mpenz wa rfk yako kabla hujaoa,
Na rfk yako wa krb ilikuaje asijue mpk ufunge ndoa ulikuwa unamficha nn?
Sasa Hilo inalo Na inaonekana mkeo anataka kukumbushia kwa mshkaj ndiyo mana mshkaji kaamua kuvunja mausiano nawe Ili kumkwepa mkeo.
 
Huwa sipendi mambo ya kuzunguka. Sema alimtongoza tu au alimbato? Na ilikuwaje yf wake aanze kuoingea ati si kila rafiki ni wa kuleta home? Sasa kama alimbato nani anatoa hizo siri mpaka wakose amani? Wewe husilolijua unafatilia la nn? Na yf wako ni mjinga mtu ukilamba sukari si unajifuta vizuri mdomoni unapiga kimya? Kwan kuna mtu atajua kalamba sikari? Watu wengine wajinga.

Wewe piga kimya usiyoyajua yasikuhalibie urafiki na jamaa yako kwan ulipomuo waifu wako alikuwa na bikra? Uinajua alieito? Sasa unachunguza nn?
 
Huwa sipendi mambo ya kuzunguka. Sema alimtongoza tu au alimbato? Na ilikuwaje yf wake aanze kuoingea ati si kila rafiki ni wa kuleta home? Sasa kama alimbato nani anatoa hizo siri mpaka wakose amani? Wewe husilolijua unafatilia la nn? Na yf wako ni mjinga mtu ukilamba sukari si unajifuta vizuri mdomoni unapiga kimya? Kwan kuna mtu atajua kalamba sikari? Watu wengine wajinga.

Wewe piga kimya usiyoyajua yasikuhalibie urafiki na jamaa yako kwan ulipomuo waifu wako alikuwa na bikra? Uinajua alieito? Sasa unachunguza nn?

Mshkaji kamtokea wife, ni hivo! hajam-mbato!
 
kwa haraka haraka, mke wako alishawah kuwa mpenz wa rfk yako kabla hujaoa,
Na rfk yako wa krb ilikuaje asijue mpk ufunge ndoa ulikuwa unamficha nn?
Sasa Hilo inalo Na inaonekana mkeo anataka kukumbushia kwa mshkaj ndiyo mana mshkaji kaamua kuvunja mausiano nawe Ili kumkwepa mkeo.
inawezekanaje marafiki zako wote wamjue mtarajiwa wako! una marafiki karibia mikoa 10, unaanzaje kuwatambulisha marafiki zako wote kwa mtarajiwa!
 
Kwanza, huna ubakika kilichotokea kati yao

Ila inaonekana kama ameshamkula wife, afu tena wife ndo analazimishia, sasa jamaa anaona bora akae pembeni

Mbane mke wako, atakumwagia yote

thibitisha ni vipi mshkaji amemkula wife wng, utakuwa umenisaidia!
 
Naomba nikulize mkuu na ikiwa nimekukera nisamehe, Ivi inakuwaje unatafuta ushauri bila kujua kosa nikitu gani au unashindwa kumuweka mkeo chini ukawa na serious talk? huyo rafiki kama ndugu kama umempelekea zawadi na amerejesha na kosa hulijui basi tulia umejitahidi kwa kadri ya uwezo wako au mpaka unataka akutemee mate au akupige vibao ndio ujue its OVER? huo uwoga sijui upole wa mkeo anakuvutia majanini kama muoga kweli angekwambia rafiki yako alivyotaka kufanya au alivyofanya na ukajua wapi umesimamia kama kuna kosa amesikia au kuna chochote
sasa akisema rafiki wengine sio wakuwaleta home ndio kamaanisha nini hapo? ana zidi kuku stress ukiwa kama mwanamme mwambie akueleze
ili ujue hapo sasa ndio utajua kama ndoa yako iko ICU au iko mwaisela....

ahsante kaka, data nilizokusanya, kutoka third party (intelijensia yng) ni kwamba mshakaji alimtaka wife, lugha zikagongana!
Mi sijaelewa wife ameliwa? Huko kubadili gia ni mtandao pendwa au?
 
thibitisha ni vipi mshkaji amemkula wife wng, utakuwa umenisaidia!
Kwa nn ashindwe kukuambia ukwel wa kilichotkea,
Amekalia marafk wengne marafik wengne

Just saying though, my perception
 
Mi sijaelewa wife ameliwa? Huko kubadili gia ni mtandao pendwa au?

Nikiwa safarini, mshikaji kaja home mara mbili, ya kwanza kataka kumtoa out wife, wife akachomo! ya pili mshikaji home "kuyamwaga ya moyoni" ndio lugha zikagongana
 
Chief mtafute huyo jamaa inawezekana Mke wako alikuwa anamtaka akamfanyia mambo ya ajabu jamaa kuwa makini nacwake zetu wanajua mengi sana,Mke wako anatpngozwa na watu wengi kama wangu anavyotongozwa,ameshawa kukuambia,sasa akili zako chambua

nimekuelewa, nambie namtafutaje sasa!
 
Yaani bado unahesabia kuwa una rafiki?

Katika maisha yangu, marafiki wa kugandana namna hii sina.

Wapo wa kusaidiana kwa tabu na raha ila wa kugandana mwisho wake huwa ni kama huu.

ni kama umebaki urafiki wa kinadharia tu!
 
inawezekanaje marafiki zako wote wamjue mtarajiwa wako! una marafiki karibia mikoa 10, unaanzaje kuwatambulisha marafiki zako wote kwa mtarajiwa!

sasa mbona hueleweki? WW umesema huyo Ni rfk km ndugu? Sasa Kama wapo wengi unadil Na rfk WA nn, kaa Na mke akwambie ukwel Tu kuwa mshikaj alishapita kitambo then muendelee Na maisha..... Na hayo mambo c ya kuwaza xna kwa maana hukumkuta bikra Na bado unainyonya.
 
ahsante kaka, data nilizokusanya, kutoka third party (intelijensia yng) ni kwamba mshakaji alimtaka wife, lugha zikagongana!
Usiamini sana maneno yakusikia huenda ikawa sivyo kabisaaaaaaaaaaaa rudi kwa mkeo pata habari zenye uhakika,huyo ni mkeo na mpaka umeamua kumuoa inamaana unamkubali...
 
Back
Top Bottom