Swali gumu sana mkuu lahitaji research, Cha msingi bukoba ni mji unaukua haraka kibiasha, Mbali na biashara za kawaida asilimia kubwa na wakazi wa Bukoba vijiji pamoja na maeneo ya Mleba wanajishughulisha zaidi na biashara ya mazao ya Kilimo *Agrictural products*
Bila kujali mzunguko wa Pesa kama unataka kwenda kuwekeza nenda haraka. Sehemu nzuei kuwekeza ni zile ambazo hazijaendelea na mzunguko wake uko- wastani. Hapo utatakiwa ku-link uwekezaji wako na miji yenye mzunguko mkubwa. Utafurahia
kwa taarifa nilizozisikia kutoka chini ya kapeti tena radio mbao zinasema kibenki huo mkoa unaonesha kua na mzunguko mkubwa sana wa pesa kuliko mikoa yote Tz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.