Wadau naomba mwenye kujua matatizo ama dalili kuwa kimeo(tule tudude tunaokaa juu ya ulimi na karibu na koo) kwamba kinahitajika kukatwa ni nini!namishukuru wadau kwa msaada wenu
Iwapo huhisi tatizo lolote wala usihangaike na issue za kukata kimeo.
Na ukihisi shida kinywani nenda hospitali.
Usikimbilie kwa wakata vimeo wa mitaani. Unaweza kujizulia shida kubwa zaidi kuliko tatizo lako la kwanza. (mfano tetanus, maambukizi mengine, kupoteza damu nyingi, ukimwi nk).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.