Prince Dikembe
Member
- May 24, 2012
- 16
- 1
1. kuna post za serikalini kama za Tutorial Assistants vigezo uwe na GPA kuanzia 3.8 so ukiweka cheti 2 cha chuo ambacho kinaonyesha class tu watajuaje kuwa ume-meet vigezo?
2. Kwa mfano nikaambatanisha vyote (Cheti na Transcript) kutakuwa na tatizo kweli hapo wadau...!?
NAOMBA MNIJUZE TAFADHALI!!
2. Kwa mfano nikaambatanisha vyote (Cheti na Transcript) kutakuwa na tatizo kweli hapo wadau...!?
NAOMBA MNIJUZE TAFADHALI!!