msaada wadau jinsi ya kupata screen shot

msaada wadau jinsi ya kupata screen shot

thehunk

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2011
Posts
533
Reaction score
233
jamani kwa aliye na uelewa jinsi ya kufanya niweze kupata screenshot yani screen ya komputa yangu iwe kama picha ....nadhani nimeeleweka
 
inategemea na pc yako ni aina gani.Kamata(bonyeza usiachie) Batani kwenye keyboard yako iliyoandikwa fn halafu bonyeza na batani iliyoandikwa prt sc,halafu unaachia zote au kwa maneno mengine unabonyeza hizo batani kwa pamoja.
Ukishafanya hivyo fungua paint na u paste huko then save ktk namna unayotaka.
Zingatia baadhi ya pc unabonyeza ctrl + prt sc au alt + prt sc
 
Na vp kwa sie watumia simu tutafanyaje?

kama unatumia android version ya zamani, unaweza download app inaitwa Screenshot It ila simu yako shurti iwe rooted.


kama unatumia kompyuta, bofya kitufe upande wa kulia kimeandikwa "PrntScrn" kisha paste kwenye microsoft paint au word
 
Kwenye pc yangu kama nataka picha ya screen, nabonyeza 'printscreen' halafu nafungua microsoft word au paint halafu na paste huko halafu na save.
 
window 7 na 8 zinakuja na screenshot taker nzuri zaidi inaitwa snippet tool search kwenye list ya soft zako
 
ukishindwa kabisa download application inaitwa quick screen capture rahisi sana kuitumia
 
Sana wna mnasumbuka nini kama unatumia Window 7 na kwenda juu kuna application inaitwa sniping tool ipo ndani ya window utaweza kutumia iyo . Tembeleeni website yangu JCV TECH mweze pata mengi..
 
Back
Top Bottom