Msaada wa ushauri ninunue gari gani kwa bajeti ya 16M

Kwa hiyo bajeti hupati gari ya maana ya kisasa hv unanunuaje gari ya 1998 mwaka huu ina miaka 20 daahh yani labda km wewe ni mzee unastaafu ndo ununue hizo kijana km wewe unatakiwa uendeshe za kuamzia 2007 na kwa hy bajeti tegemea kupata saloon cars chagua mwnyw zipo kibaoooo na huko mabondeni uhame utaishije mabondeni hama upesi
 
Nachoongea nina uhakika nacho mkuu, nilimiliki defender ilinisumbua sana muda wote nilikuwa mtu wa garage, haya magari hata spare zake zipo juu...niliiuza nikanunua hilux double cabin ukweli nimepata pumziko hivi sasa la kwenda garage. Samahani km nimekukwaza mkuu lkn lazima nishuhudie kilichonitokea badala ya kumwacha huyu ndg mwenye 16m yake kaidunduliza kwa shida kisha akanunue gari ambalo kwake litamgharimu kiuendeshaji.
Ulinunua sh ngapi double cabin hilux
 
Jamani mimi inaonekani ninapitwa sana na vitu. hivi ninani alie tuahidi Noah? maana nasikia tu hapa
Ingekuwa kula na kutafuna waweza ajiri mtu wa kukufanyia, wengi wangeajiri watu kwa ajili ya kuwalia, kuwatafunia na kuwamezea, ili wao wapumzike mustarehe.
Lakini kuna mambo mengine hauwezi ajiri mtu, lazima wewe mwenyewe uhusike.
Sasa hili la Noah, usiajiri mtu akutafunie, tafuna mwenyewe, ili kila mtu akuone unavyokula na unavyoweza kumeza wewe mwenyewe.
 
Hello mkuu, kwanza kabisa hongera kwa kufikia uamuzi wa kuvuta usafiri,
mimi nafanya kazi autocom japan , kampuni ya kuagiza magari kutoka japan kuja tanzania.
Makao makuu yapo Japan ,Na offisi zetu kwa hapa tanzania, zipo Jengo la Quality center shopping mall Mtava, Along nyerere road.
Sisi tuna magari mazuri yenye ubora na bei ni nzuri kabisa.
cfd63ab0d7383917d4bf088aa4287a3e.jpg

kwa ushauri wangu ingekuwa kutokana na bajeti yako ingekuwa vyema ungechukua kati ya hizi gari 2,

Toyota rav4,
Year 1996
Cc 1990
Mileage 113000km
Gharama kamili 15.8m



42fa15dedd1c6c33a7fe4b176d63acf2.jpg

8427e8f7fe0fee64d8c2f1597b428822.jpg


Toyota harrier 2002
Cc 2360
Mileage 154000km
Gharama kamili 17m,
84798e20bb69c510b39483f2db44a922.jpg

171cf835d49761eea06cbcebdbace3e4.jpg

793bdd94d719b792e2bf6eadbeb5ed11.jpg

Otherwise itabidi uende kwa xtrail.
This will be the best options for ua budget.
Also waeza kutembelea kwa maongezi na ushauri zaidi.
Hizo mileage mkuu!
 
Wakuu bajeti niliotenga ni 16M nataka kuvuta usafiri, nahitaji msaada wa ushauri ni gari gani naweza kununua ambayo ina sifa hizi hapa nlizoanisha:-
-Haili sana mafuta ambayo unaweza kuiita economy.
- Gari ngumu ambayo inaweza kuhimili shurba za mara kwa mara kwasababu barabara ninayotumia ni rough road na yenye makorongo ya hapa na pale.
-Upatikanaji wake wa spea kwa hapa tanzania uwe ni wa uhakika.
Nawasilisha.
Ongeza kidogo hapo nakuagizia harrier safi kabisa..Gari za bongo bwana binafsi nimekoma"ikifika17"mm ňakuletea gari uaze ww kutumia kwahapa bongo.0755229028
 
Hello mkuu, kwanza kabisa hongera kwa kufikia uamuzi wa kuvuta usafiri,
mimi nafanya kazi autocom japan , kampuni ya kuagiza magari kutoka japan kuja tanzania.
Makao makuu yapo Japan ,Na offisi zetu kwa hapa tanzania, zipo Jengo la Quality center shopping mall Mtava, Along nyerere road.
Sisi tuna magari mazuri yenye ubora na bei ni nzuri kabisa.
cfd63ab0d7383917d4bf088aa4287a3e.jpg

kwa ushauri wangu ingekuwa kutokana na bajeti yako ingekuwa vyema ungechukua kati ya hizi gari 2,

Toyota rav4,
Year 1996
Cc 1990
Mileage 113000km
Gharama kamili 15.8m



42fa15dedd1c6c33a7fe4b176d63acf2.jpg

8427e8f7fe0fee64d8c2f1597b428822.jpg


Toyota harrier 2002
Cc 2360
Mileage 154000km
Gharama kamili 17m,
84798e20bb69c510b39483f2db44a922.jpg

171cf835d49761eea06cbcebdbace3e4.jpg

793bdd94d719b792e2bf6eadbeb5ed11.jpg

Otherwise itabidi uende kwa xtrail.
This will be the best options for ua budget.
Also waeza kutembelea kwa maongezi na ushauri zaidi.

Mkuu vipi discovery 2 bei gani nataka kuagiza cc2500 ya uk
 
Ingekuwa kula na kutafuna waweza ajiri mtu wa kukufanyia, wengi wangeajiri watu kwa ajili ya kuwalia, kuwatafunia na kuwamezea, ili wao wapumzike mustarehe.
Lakini kuna mambo mengine hauwezi ajiri mtu, lazima wewe mwenyewe uhusike.
Sasa hili la Noah, usiajiri mtu akutafunie, tafuna mwenyewe, ili kila mtu akuone unavyokula na unavyoweza kumeza wewe mwenyewe.
Pumba zinginie
 
Back
Top Bottom