mopaozi
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 3,301
- 520
Kwa hiyo bajeti hupati gari ya maana ya kisasa hv unanunuaje gari ya 1998 mwaka huu ina miaka 20 daahh yani labda km wewe ni mzee unastaafu ndo ununue hizo kijana km wewe unatakiwa uendeshe za kuamzia 2007 na kwa hy bajeti tegemea kupata saloon cars chagua mwnyw zipo kibaoooo na huko mabondeni uhame utaishije mabondeni hama upesi