Counsellor Sima
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 539
- 569
Chukua Harrier bhana, agiza Japan achana na bongo watakuliza, coz Ilotumika tuu yenye namba C watakupiga Milion 14 so angalia uagize nje kama kuna unafuu lkn coz sijaagiza muda kidogo.
Shukrani mkuu ntakutafutaHello mkuu, kwanza kabisa hongera kwa kufikia uamuzi wa kuvuta usafiri,
mimi nafanya kazi autocom japan , kampuni ya kuagiza magari kutoka japan kuja tanzania.
Makao makuu yapo Japan ,Na offisi zetu kwa hapa tanzania, zipo Jengo la Quality center shopping mall Mtava, Along nyerere road.
Sisi tuna magari mazuri yenye ubora na bei ni nzuri kabisa.
kwa ushauri wangu ingekuwa kutokana na bajeti yako ingekuwa vyema ungechukua kati ya hizi gari 2,
Toyota rav4,
Year 1996
Cc 1990
Mileage 113000km
Gharama kamili 15.8m
Toyota harrier 2002
Cc 2360
Mileage 154000km
Gharama kamili 17m,
Otherwise itabidi uende kwa xtrail.
This will be the best options for ua budget.
Also waeza kutembelea kwa maongezi na ushauri zaidi.
Shukrani mkuu ngoja nijaribu kucheki na wanaoagiza magari nioneChukua Harrier bhana, agiza Japan achana na bongo watakuliza, coz Ilotumika tuu yenye namba C watakupiga Milion 14 so angalia uagize nje kama kuna unafuu lkn coz sijaagiza muda kidogo.
amekujibu?Ulaji wa mafuta mkuu ukoje kwa prado
Niko hapa mkuu kwa magari bora na bei ya kitanzania.Shukrani mkuu ngoja nijaribu kucheki na wanaoagiza magari nione
Mark X push to start ya kuanzia 2006 yenye taa kwenye side mirror na crown 2008 zinaenda ngap mkuu?Chukua hii kamanda suzuki grand escudoView attachment 523841View attachment 523842View attachment 523843View attachment 523844
Hii hatuna mkuu kwa stock, but ukihitaji msaada wangu naweza kukusaidia kila hatua, maana mimi pia ni freelancer wa sbt Japan.Hilux pickup
Ipo boss, wataka ya mwaka gani!??Toyota rush
14.8mMark X inaenda bei gani kwani??
Mark 16m, year 2006Mark X push to start ya kuanzia 2006 yenye taa kwenye side mirror na crown 2008 zinaenda ngap mkuu?
Milioni 24 Discovery 4?Ongeza milioni nane nikuachie Discovery 4. Ni nzuri utafurahia achana na toyota family.nimeacha kutumia toyota miaka minne iliyopita so nakushauri chukua magari ambayo watu wanayaogopa.
kuhusu fuel consumption inategemea na mahali unapoend kufanya shughuli zako na foleni.
Ungeweza angalia pia na Audi kama hutapendelea Discovery.
B,R