king vana
Member
- Apr 9, 2017
- 91
- 49
- Thread starter
- #81
Yukina 500 ndo adhabu ndogo na majengo ya shule yanajengwa kwa mtindo huo wa nguvu za wanafunzi...... Sijuh wizara inafikishiwajwe hiiHizi ni shule za Government !! Hivi Wizara inajua haya Adhabu matofali 500 !! Wizara ya Elimu mko wapi jamani Waalimu wamekua Miungu ?