Msaada wa ufafanuzi tafadhali

Msaada wa ufafanuzi tafadhali

Flora Saasita

Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
26
Reaction score
0
Jamani Leo kuna mtu amenikatisha tamaa kuhusu kozi ya Geomatics ati ananiambia nijiandae kuuza karanga kama nimeamua kuisomea hii fani yaani ukweli nimekosa hata mwelekeo naombeni ushauri wenye ukweli wa dhati kutoka moyoni
 
acha kukatishwa tamaa na binadamu mwenzio wewe,

nenda kasome kwa furaha na amani
 
Jamani Leo kuna mtu amenikatisha tamaa kuhusu kozi ya Geomatics ati ananiambia nijiandae kuuza karanga kama nimeamua kuisomea hii fani yaani ukweli nimekosa hata mwelekeo naombeni ushauri wenye ukweli wa dhati kutoka moyoni

Hehehe umenichekesha sana na hiyo term "kuuza karanga"
Hiyo course utadeal na mambo ya geography in other words utachezea sana mambo ya survey peke yake. Sasa tukija kama bongo inapesa au la, ni ngumu sana kuelezea kama mtu hajadeal na field hiyo, kama unategemea kuajiriwa kupata kazi kweli itakua mziki. You have to come up with a very good plan kama kweli unataka uchomoke.

Sijui kwa nini lakini umechagua course ambayo huna idea nayo kabisa? Hua tunasoma kugain knowledge lakini that doesn't mean tunasoma kila kitu, chuoni ni sehemu unaenda kusomea kitu roho inapenda.
 
Hehehe umenichekesha sana na hiyo term "kuuza karanga"
Hiyo course utadeal na mambo ya geography in other words utachezea sana mambo ya survey peke yake. Sasa tukija kama bongo inapesa au la, ni ngumu sana kuelezea kama mtu hajadeal na field hiyo, kama unategemea kuajiriwa kupata kazi kweli itakua mziki. You have to come up with a very good plan kama kweli unataka uchomoke.

Sijui kwa nini lakini umechagua course ambayo huna idea nayo kabisa? Hua tunasoma kugain knowledge lakini that doesn't mean tunasoma kila kitu, chuoni ni sehemu unaenda kusomea kitu roho inapenda.

Niliiweka baada ya kutemwa na TCU kwenye round zote nne na kwa bahati mbaya wakawa wamenipanga hiyo
 
Back
Top Bottom