Na deal na haya mambo ndugu yangu..Uzi ulipaswa kufungwa hapa ulipotaja tu Cefixime nimefahamu unajua dawa
Sio sababu ya kufunga uzi, ktk maelezo yake ana historia ya kutumia powercef. Powercef ni ceftriaxone ambayo ni the same na hiyo cefixime.Uzi ulipaswa kufungwa hapa ulipotaja tu Cefixime nimefahamu unajua dawa
Niko pamoja na SamiaMm nna dawa ya kutibu huo ugonjwa wako wa upanuzi wa mkundu baada ya kupanuliwa na watu wa ccm, nitakupa bure.
Masharti
1. Usiandamane
2. Uwe popote pale ulipo.
U. T. I sugu ndo nini??? 🤔 🤔Kwema wakuu nimekua na changamoto ya mkojo unakua unaambatana na hali ya kuchoma choma na pia wakati wa sex inatoka vitu kama uchafu hivi ni tatizo la muda sana nimechoma powerself mara 2 wakati natumia inakata nikimaliza ti dose inajirudia
Pia nimemeza mchanganyiko wa metronidazole,Cipro na doxy na yenyewe nikamaliza dose
Mwenye anafahamu tiba hata ya asili msaada make inafikia Kuna wakati nikipiz inaambatana na damu
ShukraniUnapotumia dawa hakikisha hauubani mkojo( kukaa na mkojo kwa muda mrefu).
Usikojoe kwenye kopo usiku.
Kila ukikojoa hakikisha umejisafisha vizuri.
Mwenzi wako apate matibabu pia.
Pima kipimo Cha culture and sensitivity
Kunywa maji ya kutosha, tumia dawa muda sahihi siyo Leo umemeza saa mbili asubuh kesho unaweza saa Tano asubuhi,utafeli mwisho wake utakujoa mkojo kama mtindi wa maziwa.
1. Nataka kujua we ni Me au ni Ke??Msaada ndg
Mi ni me1. Nataka kujua we ni Me au ni Ke??
2. Hili tatizo limeaza lini, na linajirudia kila baada ya mda gani kila ukitumia dawa ??
3. Ukitibiwa, je na huyo mpenz wako huwa anapata tiba before kukutana kingono au una wachumba zaidi ya mmoja ??
6. Huo uchafu unatokaje, ni uchafu unatoka njee kabisa kila baada ya masaa kadha au kama ni "Me" uchafu unatoka hadi ubinye kichwa cha ub*oo??
4. Je una tatizo lolote la mda mrefu hasa magonjwa yanayo shusha kinga ya mwili ( HIV, TB, HEPATITIS)??
5. Mara ya Mwisho umetumia dose gani, na dose ulipewaje/Matumizi yake yalikuwaje??
ukiwa tayari namba ntakutaftia coz kuna babu tunampeleka clinic after every 2 to 3 weeks tumetokapo sunday hali ikitulia na ukawa tayar ntakutaftia nambaSawa mkuu nafanyia kazi Asante Kwa kujali pia je wakati naenda naweza kupata mawasiliano ya huyo Dr mahenge mkuu
Swali namba tatu ni la muhimu sana lkn umepuuzia kulijibu bado utapata thabu sana ktk hii insu!!Mi ni me
Tatizo limeanza mwaka Jana nikachoma sindano za powercef likaacha kama wiki baada ya hapo likajirudia na dalili kubwa hapa ni mkojo unakua kama unachoma hiivi huo uchafu unakuja tu pale ambapo nakua kama najichua ndo unatokea otherwise hautokei
Hapana sina tatizo lolote linaloshusha Kinga ya mwili na hata kuugua kawaida Nina zaidi ya miaka 3 sijawahi kupata hata homa
Mara ya mwisho kabisa nimetumia dose ya dawa za kumeza ilikua ni doxy, metronidazole na Cipro
Ila kabla ya hizi dawa nilichoma Tena full dose ya powercef ko powercef nimechoma mara 2 mfululizo full dose Kwa vipindi tofauti
Kuna dawa ya kienyeji/asili inatobu UTI sugu wanauza watu wanitwa EDEN hapa kahama. Nimewahi kuitumia wakati nilisumbuliwa na tatizo hilo kwa zaidi ya wiki 4, nilitumia ceftrioxone, ciprofloxacin na amoxiclav zote zilishindwaKwema wakuu nimekua na changamoto ya mkojo unakua unaambatana na hali ya kuchoma choma na pia wakati wa sex inatoka vitu kama uchafu hivi ni tatizo la muda sana nimechoma powerself mara 2 wakati natumia inakata nikimaliza ti dose inajirudia
Pia nimemeza mchanganyiko wa metronidazole,Cipro na doxy na yenyewe nikamaliza dose
Mwenye anafahamu tiba hata ya asili msaada make inafikia Kuna wakati nikipiz inaambatana na damu