Imestack ukiiwasha inawaka lakini inaleta maelezo kama haya katika picha haiendi popote wala kufanya chochote na hayo maandish hayatoki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo tv ambazo hazina certified android tv interface ni jau sana. Fanya reset factory
namna ya kureset maana huwezi hata kwenda ktk settingHizo tv ambazo hazina certified android tv interface ni jau sana. Fanya reset factory
namna ya kudownload na kuiweka naomba nielekezweYes afanye reset ikishindikana aingie online adownload upya hiyo firmware ya tv yake
kama unavoona ktk pichaImestack ukiiwasha inawaka lakini inaleta maelezo kama haya katika picha haiendi popote wala kufanya chochote na hayo maandish hayatoki
View attachment 1417665
Sent using Jamii Forums mobile app
huwezi kwenda ktk setting yani maelezo hayo inabaki ivoivo hata ufanye nn haifanyi chochotePole mzee..
Si unaweza enda kwenye settings?
Hemb jibu hili swali.
Haya ma kampuni mengne ni stress tuu.
Hivi vitu vya electronics vinatakiwa uwe makini sanaa, unaweza useme anayezama mfukoni kuchukua Brand ya kueleweka ni Show off kumbe ana save mambo km haya.
Duuu...huwezi kwenda ktk setting yani maelezo hayo inabaki ivoivo hata ufanye nn haifanyi chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
ktk matumiz mkuu nimeitimia sana imeanza hivi karibunDuuu...
Hilo tatzo limeanza katikati ya matumizi au tangu uinunue?
inaniandikia ivi na siwezi kufanya lolote hapo kama inavoonekana ktk picha na siwezi fanya lolote hapo siwezi kwenda popoteView attachment 1418079View attachment 1418080
Sent using Jamii Forums mobile app
shida ni kuifikia setting mkuu ningeweza ningefanya haienda mahala popoteBaada ya ku google imenipa majibu haya
You should go to Settings > Applications > Manage Applications > Then make sure you look under the ALL tab. It is MEDIA what you are looking for. Clear the data and cache for this one. Then Force-stop it and restart your device
Yaani ni kama vile Tecno mchina akikorofisha basi zima kila kitu halafu anza upya
asante mkuuuIngekua simu ningekushauri load firmware / flash file.
For as long hiyo ni smart tv na inatumia android there must be a way to have it flashed with a clean ROM .
Btw similiki smart tv so am just speculating pia nimeona tv kadhaa zikiwa loaded na firmware mtandaoni.
Kipindi tunasubir wajuzi zaidi, tafadhali tembelea mtandaoni kuangalia jinsi ya kupata firmwarw husika.
Also state your TV model if u need more assistance.
Best of luck.
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya ku google imenipa majibu haya
You should go to Settings > Applications > Manage Applications > Then make sure you look under the ALL tab. It is MEDIA what you are looking for. Clear the data and cache for this one. Then Force-stop it and restart your device
Yaani ni kama vile Tecno mchina akikorofisha basi zima kila kitu halafu anza upya