Msaada wa training ya self defence

Msaada wa training ya self defence

Nina package moja hivi inaitwa "Combat Survival" ni video series yenye maelekezo ya kujilinda na ipo very comprehensive. Inatumiwa sana na makomando wa Jeshi but hata mtu wa kawaida itakufaa. If u ar interested nitakupa hilo folder unacheck tu kweny tv au computer huku unapractice. Hata ukipata mwalimu bado yenyewe ita-serve a useful purpose 2u...

Mkuu nisaidie nami hyo kitu,niongeze ufundi.
 
manually nishatafuta sana kumpata mtu wa kunifundisha jinsi ya kuweza kujiprotect kwa mfano ukivamiwa
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence
BINAFSI nishawahi ibiwa watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop,simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao
Pili nishaama nilipokua nakaa lakini bado nina hofu je mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae sababu naishi mwenyewe bado
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu ana mjua tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka
Asanteni

Azura wanafundisha wako pale karibu na daraja la kawe ukiingia google utapata contacts zao, kuna shirikisho la japani tanzania wanafundisha karate hiki ni chuo kimesajiliwa kipo pale mbuyuni karibia na kanisa la nyerere 0755256605, pia kuna wengine wanafundisha taekwondo ni martial arts ya kikorea 0758464961 na kama unataka ulinzi binafsi na dereva ni pm nimesoma zote hizo na matumizi ya silaha na udereva wa ulinzi
 
Azura wanafundisha wako pale karibu na daraja la kawe ukiingia google utapata contacts zao, kuna shirikisho la japani tanzania wanafundisha karate hiki ni chuo kimesajiliwa kipo pale mbuyuni karibia na kanisa la nyerere 0755256605, pia kuna wengine wanafundisha taekwondo ni martial arts ya kikorea 0758464961 na kama unataka ulinzi binafsi na dereva ni pm nimesoma zote hizo na matumizi ya silaha na udereva wa ulinzi

Wuthai taekwondo,wuthai Boxing ndo mpango mzima,naisubiria hi elimu ije bongo...
 
manually nishatafuta sana kumpata mtu wa kunifundisha jinsi ya kuweza kujiprotect kwa mfano ukivamiwa
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence
BINAFSI nishawahi ibiwa watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop,simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao
Pili nishaama nilipokua nakaa lakini bado nina hofu je mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae sababu naishi mwenyewe bado
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu ana mjua tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka
Asanteni

mimi ni karateka but kymfundisha mtu lazima kuna basic information toka kwake nataka nizijue ili kumpa ushauri sahihi na kama unaweza kufanya hayo matizi au laaaa
 

XM2010 Enhanced Sniper Rifle (ESR)

[TABLE="width: 643"]
[TR]
[TD="width: 312"]Caliber
[/TD]
[TD="width: 313"].300 Win Mag (7,62x67)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Action
[/TD]
[TD="width: 313"]Manually operated bolt action
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Overall length
[/TD]
[TD="width: 313"]1135 mm
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Barrel length
[/TD]
[TD="width: 313"]610 mm
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Weight
[/TD]
[TD="width: 313"]7,95 kg loaded, with scope
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 312"]Magazine capacity
[/TD]
[TD="width: 313"]5 rounds
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Back
Top Bottom