masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,779
- 16,707
- Thread starter
- #41
Kwenye mtandao siyo rahisi. Mi nilikuwa nahangaika kama wewe nikafukuafukua sana youtube na kwingineko nikaambulia tu video za kawaida ambazo siyo za kimafunzo. Nikaja kuibahatisha hii kw jamaa yangu mmoja jeshini. Kuitupia hapa ni ngumu manake folder ni kubwa (more than GB).
naomba nikutafute mkuu