Msaada wa training ya self defence

Msaada wa training ya self defence

Kwenye mtandao siyo rahisi. Mi nilikuwa nahangaika kama wewe nikafukuafukua sana youtube na kwingineko nikaambulia tu video za kawaida ambazo siyo za kimafunzo. Nikaja kuibahatisha hii kw jamaa yangu mmoja jeshini. Kuitupia hapa ni ngumu manake folder ni kubwa (more than GB).

naomba nikutafute mkuu
 
Mtafute Mwanadada Lady Jaydee,naona nae anafanya mazoezi ya karate,..anaweza kukuelekeza anapofanyia.
 
Azura wanafundisha wako pale karibu na daraja la kawe ukiingia google utapata contacts zao, kuna shirikisho la japani tanzania wanafundisha karate hiki ni chuo kimesajiliwa kipo pale mbuyuni karibia na kanisa la nyerere 0755256605, pia kuna wengine wanafundisha taekwondo ni martial arts ya kikorea 0758464961 na kama unataka ulinzi binafsi na dereva ni pm nimesoma zote hizo na matumizi ya silaha na udereva wa ulinzi

hahhaha sina uwezo wa kukuajiri nataka kuwa na hizo skills mwenyewe,asante mkuu kwa ushirikiano
 
Vibaka wa bongo heri uwe na maji ya pilipili kichaa,uweke kwenye kale chupa cha chilisosi yenye matundu mengi,akikusogelea tu unaibinya machoni kwake.

Halafu hivi kuna hizi short za umeme imekaa kama silaha hivi,huwa naona kwenye movie utakuta polisi wanakamata nayo majambazi au wezi,kibongo haiuzwi?
hii hapa stun gun.unaitumia kumu incapastate adui.
20080508-stungun_blastknuckles_02.jpg
 
Kuna hadi flash ukimpiga mtu na mwanga usoni anapata temporary blindness.
Baadhi ya product ziko nafuu hata kwa chini ya sh 50,000.
Self defence product.
Stun Guns
 
mimi ni karateka but kymfundisha mtu lazima kuna basic information toka kwake nataka nizijue ili kumpa ushauri sahihi na kama unaweza kufanya hayo matizi au laaaa

sawa mkuu nitakupm kujua hiyo sanaa
 
manually nishatafuta sana kumpata mtu wa kunifundisha jinsi ya kuweza kujiprotect kwa mfano ukivamiwa
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence
BINAFSI nishawahi ibiwa watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop,simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao
Pili nishaama nilipokua nakaa lakini bado nina hofu je mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae sababu naishi mwenyewe bado
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu ana mjua tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka
Asanteni

dada angu ukiibiwa simu utanunua ingine lakini habari za kupambana na vibaka au majambazi utaumia bure tu na vitu vyako watachukua,jaribu tu kuwa mwangalifu sehemu unazotembelea na usitembee peke yako usiku sana. sijui unakaa maeneo gani lakini jitahidi kuwa mwangalifu.sikushauri upambane na vibaka au majambazi,wakikuwahi waachie wasije wakachukua na uhai wako.
 
dada angu ukiibiwa simu utanunua ingine lakini habari za kupambana na vibaka au majambazi utaumia bure tu na vitu vyako watachukua,jaribu tu kuwa mwangalifu sehemu unazotembelea na usitembee peke yako usiku sana. sijui unakaa maeneo gani lakini jitahidi kuwa mwangalifu.sikushauri upambane na vibaka au majambazi,wakikuwahi waachie wasije wakachukua na uhai wako.

niliibiwa kwangu na ni vitu kibao vyenye thaman kama milion mbili afu ukicheki ndo naanza maisha mtu anakusafishia sebule mpaka leo haiiniingii akilini natamani bastola siwwz kukaa kuwangoja waje waibe tena japo nishaama ila naishi mwenyewe
 
Self defence ni elimu pana sana.ila kwa sasa jifunze kwanza mental self defence mpaka utakapopata mwalimu physical self defence. Haya elimu ndiyo hii. Epuka kufungulia mziki kwa sauti kubwa au kuacha malango wazi katika muda wa mchana kwani unashawishi vibaka, jitaidi kuzoeana na wakabaji na vibaka wa mtaani kwenu kwa kuchangia sherehe zao,mpira na hela ya singara kama unayo kwa kufanya hivyo unawafanya wawe walinzi wako hata upite usiku wa saa ngapi,jifunze kutumia silaha ya jad au kisasa barabara,
 
Back
Top Bottom