Msaada wa training ya self defence

Msaada wa training ya self defence

hujiulizi kwanini hata Mayweather ana ulinzi wakati yuko fit kwenye ndondi???? Pesa ndugu.
Kwa kina Mayweather huko kila mara mapigano ya silaha ni kawaida, kitu keko tu hapo achana na USA
 
Nina package moja hivi inaitwa "Combat Survival" ni video series yenye maelekezo ya kujilinda na ipo very comprehensive. Inatumiwa sana na makomando wa Jeshi but hata mtu wa kawaida itakufaa. If u ar interested nitakupa hilo folder unacheck tu kweny tv au computer huku unapractice. Hata ukipata mwalimu bado yenyewe ita-serve a useful purpose 2u...
naihitaji hyo package mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Back
Top Bottom