mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Kwa kina Mayweather huko kila mara mapigano ya silaha ni kawaida, kitu keko tu hapo achana na USAhujiulizi kwanini hata Mayweather ana ulinzi wakati yuko fit kwenye ndondi???? Pesa ndugu.
Kwa kina Mayweather huko kila mara mapigano ya silaha ni kawaida, kitu keko tu hapo achana na USAhujiulizi kwanini hata Mayweather ana ulinzi wakati yuko fit kwenye ndondi???? Pesa ndugu.
He! haya.Thubutuuuu, Ken jirani yangu kamnunulia mkewe kama hiyo kwa ajili ya self defence aendapo na kurudi toka sokoni...
Amnunulie na armoured car kabisa hapo atakuwa amemaliza.Thubutuuuu, Ken jirani yangu kamnunulia mkewe kama hiyo kwa ajili ya self defence aendapo na kurudi toka sokoni...
naihitaji hyo package mkuuNina package moja hivi inaitwa "Combat Survival" ni video series yenye maelekezo ya kujilinda na ipo very comprehensive. Inatumiwa sana na makomando wa Jeshi but hata mtu wa kawaida itakufaa. If u ar interested nitakupa hilo folder unacheck tu kweny tv au computer huku unapractice. Hata ukipata mwalimu bado yenyewe ita-serve a useful purpose 2u...
Nahitaji kwa mitaa ya kinondoni au mwananyamalashule za sanaa za kujilinda ziko nyingi inategemea sanaa unayo itaka na umbali kutoka mahali unapoishi