masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,771
- 16,669
Manually nishatafuta sana kumpata mtu wa kunifundisha jinsi ya kuweza kujiprotect kwa mfano ukivamiwa.
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa Dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence.
BINAFSI nishawahi ibiwa, watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop, simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao.
Pili nishahama nilipokuwa nakaa lakini bado nina hofu; je, mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae, sababu naishi mwenyewe bado..
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu anamjua, tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka.
Asanteni..
SABABU ilionifanya niombe huu msaada ni mazingira ninayoishi ya hapa Dar kwani hata atokee mtu hapa anipore simu siwezi kuzuia kumpa maana ikitokea akaweka shinikizo kidogo sina self defence.
BINAFSI nishawahi ibiwa, watu walivunja na kuiba vitu vingi vilivyokua sebuleni ikiwemo laptop, simu, binafsi hata kama ningewasikia nisingeamka maana singeweza kupambana nao.
Pili nishahama nilipokuwa nakaa lakini bado nina hofu; je, mtu akija kuingia pale nitapambanaje nae, sababu naishi mwenyewe bado..
HIVYO BASI kama kuna mtu anaweza akanipa training hii au ana mtu anamjua, tafadhali nipo radhi tuanze mapema kabla ya pasaka.
Asanteni..