Msaada wa tiba mbadala ya Cancer ya Ini

Msaada wa tiba mbadala ya Cancer ya Ini

Korintoboy

Member
Joined
Jan 5, 2015
Posts
29
Reaction score
20
Wakuu nawasalimu wote.

Bila kuwachosha niende kwenye mada iliyonifanya kuhitaji msaada wa mawazo yenu.

Ni kwamba nimegundulika nina cancer ya ini iliyosababishwa na hepatitis B na hapa nilipo ninaendelea na dawa aina ya Sorafenib.

Cancer hii imeshasambaa kwenye lymph nodes kwa yoyote anayejua tiba mbadala naomba anisaidie.

Nakaribisha pia ushauri na mawazo mbalimbali.

Nawasilisha.
 
stafeli1.png
 
Back
Top Bottom