Msaada wa special namba

Msaada wa special namba

MKONGORO

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
345
Reaction score
306
Wakuu habarini za kazi naombeni msaada nataka special namba ya laini ya tigo isomeke 0655544791 ili ifanane na laini yangu ya voda nimejaribu kuiangalia namba hiyo kwa kutest kuitumia pesa bado haina mtu.

Nimejaribu Kwa watu wanao sajiri jibu nalopewa no kuwa Siku hizi hakuna huduma ya special namba. Wakuu kama kuna mtu anaweza nitengenezea special namba hiyo anicheki PM ofa ni elfu 10 asante
 
Hivi mkuu kwa nini usiende kwenye mtandao unaoutaka ili wakusaidie
 
Back
Top Bottom