Ndugu zangu naja tena kwa mara nyingine,nikiwa na hoja yangu ileile ya kupewa Mawazo ya kama ni sahihi au la!
Kufungua MIRATHI ya mwanamke aliyeolewa na ndoa inatambulika kisheria.Tatizo ni kuwa mume na mke wote kwasasa ni MAREHEMU.Mume alikuwa na wake WAWILI na kila mmoja alimjengea nyumba yake inayojitegemea.
mmoja wa wake za mume yungali hai na anayo nyumba yake na watoto wake,
Huyu mke aliyefariki alikuwa ni Mwajiriwa na alizaa mtoto mmoja pekee,pia kuna baadhi ya mali amepata baada ya mumewe kufariki.
Maazimio ya familia ya mume ni kumpa mtoto wa huyu mama URITHI wote unaoangukia upande wa mama yake mzazi.
Je, nisahihi?
Kwa sasa tunasubiri kwenda MAHAKAMANI kumthibitisha Msimamizi wa Mirathi ya huyu mama.Chonde chonde kwa yeyote mwenye ujuzi wa masuala haya tafadhali nipe Msaada.
Kufungua MIRATHI ya mwanamke aliyeolewa na ndoa inatambulika kisheria.Tatizo ni kuwa mume na mke wote kwasasa ni MAREHEMU.Mume alikuwa na wake WAWILI na kila mmoja alimjengea nyumba yake inayojitegemea.
mmoja wa wake za mume yungali hai na anayo nyumba yake na watoto wake,
Huyu mke aliyefariki alikuwa ni Mwajiriwa na alizaa mtoto mmoja pekee,pia kuna baadhi ya mali amepata baada ya mumewe kufariki.
Maazimio ya familia ya mume ni kumpa mtoto wa huyu mama URITHI wote unaoangukia upande wa mama yake mzazi.
Je, nisahihi?
Kwa sasa tunasubiri kwenda MAHAKAMANI kumthibitisha Msimamizi wa Mirathi ya huyu mama.Chonde chonde kwa yeyote mwenye ujuzi wa masuala haya tafadhali nipe Msaada.