Njoo pm nikupe namb ya wataalum wa kazi hizoHabari wanajukwaa
Nina soft copy ya vitabu kadhaa vya taaluma yangu naomba kuuliza sehemu ambayo naweza print baadhi ya hivyo vitabu niwe na hard copy na gharama yake pia kwa Dsm....Nawasilisha kwa msaada
Kila mchapishaji ana uga wake maalumu kwa mfano mkuki na nyota pale posta wanafanya sana vitabu vya sheria na vya kiada (vinavyotumika mashuleni)Habari wanajukwaa
Nina soft copy ya vitabu kadhaa vya taaluma yangu naomba kuuliza sehemu ambayo naweza print baadhi ya hivyo vitabu niwe na hard copy na gharama yake pia kwa Dsm....Nawasilisha kwa msaada
Mkuu mabibo wataprint kama kitabu au kama kitini cha kawaida.....na je gharama yake ipoje kama unafahamu mkuuKama uko Dsm nenda mabibo hostel utaprint kwa bei nafuu
Kila mchapishaji ana uga wake maalumu kwa mfano mkuki na nyota pale posta wanafanya sana vitabu vya sheria na vya kiada (vinavyotumika mashuleni)
Kama ni vya kidini yapo mashirika bobezi katika uga huo
Ila kama wewe ni mwanafunzi hususan wa chuo tumia walimu kujua wao huchapa wap.
Kwa mfano udsm ilikuwepo dar es salaam university press (DUP) na pia Taasisi ya taaluma za kiswahili (TATAKI) inayochapisha vitabu kwa mwamvuli wa TUKI
[/QUOTE
Shukrani mkuu....mm nasoma Moro ila kwa sasa nipo Dsm likizo....so kama unafahamu kwa Dsm kwa vitab vya namna hiyo
Mkuu nitumie pm basi hizo namba au anuani Zao za mitandao ya kijamii niwatafuteNjoo pm nikupe namb ya wataalum wa kazi hizo
0654846084Mkuu nitumie pm basi hizo namba au anuani Zao za mitandao ya kijamii niwatafute