Msaada wa sabufa ipi nzuri

Msaada wa sabufa ipi nzuri

tiku

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2015
Posts
441
Reaction score
259
Naomba wataalam wa vitu hivi mnisaidie sabufa gani ni nzuri quality ina equilizer, base yani vile vitu vyote vizuri, niliwahi kuuliza humu sikupata majibu mazuri nimeenda kununua latech yani likubwaaa zuri la sura sh 170,000. Halina sauti halina equilizer, hamna bluetooth yani hovyo kabisa afu kuna siku spika hazitoi sauti kuna siku zinatoa yani hovyo, nisaidie anayejua nzuri
 
Kuna kampuni moja hivi inaitwa LEADER sidhani kama bidhaa zao bado zipo sokoni. Ilikuwa na SUB WOOFER zenye mziki wa adabu.
images(1).jpg
 
Nunua home theater ya LG, Sony au Samsung itakuwa poa zaid,, hautajuta,,
Mkuu tatizo la Tanzania ni wafabiashara wanaleta bidhaa za kufanana na quality moja ya kichini...kwa hiyo mteja unajikuta unacheza kwenye duara lile lile hata kama unauwezo wa kununua mziki mzuri.

Watanzania tujitahidi kutafuta vitu original ili tuwafundishe wafanyabiasha waache mazoea.

Niliishaacha kununua bidhaa za mchina mimi nanunua og tu bila kujali ni new ama used.
 
Mkuu tatizo la Tanzania ni wafabiashara wanaleta bidhaa za kufanana na quality moja ya kichini...kwa hiyo mteja unajikuta unacheza kwenye duara lile lile hata kama unauwezo wa kununua mziki mzuri.

Watanzania tujitahidi kutafuta vitu original ili tuwafundishe wafanyabiasha waache mazoea.

Niliishaacha kununua bidhaa za mchina mimi nanunua og tu bila kujali ni new ama used.


Changamoto kubwa pia Watanzania wanapenda vitu vya bei che,, home theater nzuri na og kabisa ya Sony ya watt 1000 unakuta inaunzwa mpaka 9k ,Mtanzania Anakimbilia zake arborder, rising,, boss zinazochezea chini ya 2k

Unajisikiaje pale umeweka kitu dukani wewe umekinunua 7k unataka ukiuze 7.2k anakuja mtu anakuambia ana 2k afu unakuta ni baba mtu mzima kabisa au kijana aliye hitimu chuo kikuu,,??
 
Changamoto kubwa pia Watanzania wanapenda vitu vya bei che,, home theater nzuri na og kabisa ya Sony ya watt 1000 unakuta inaunzwa mpaka 9k ,Mtanzania Anakimbilia zake arborder, rising,, boss zinazochezea chini ya 2k

Unajisikiaje pale umeweka kitu dukani wewe umekinunua 7k unataka ukiuze 7.2k anakuja mtu anakuambia ana 2k afu unakuta ni baba mtu mzima kabisa au kijana aliye hitimu chuo kikuu,,??
9K = 9000/= elfu tisa
 
Back
Top Bottom