Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,134
- 664
Ndugu Habari za asubuhi? kama kichwa cha Habari kinavyojieleza, ninaomba mnisaidie kupata programs za kuandalia mitihani na notes za somo la hisabati. Huwa ninapata shida sana katika maandalizi ya notes haswa kuweka michoro kama relation, numberline, function, statistics na nyinginezo.
Kama unayo au unielekeze namna ya kuzipata ntashukuru sana. Huwa najiuliza wanaoandaa vitabu wanaitumia nini sipati majibu, naomba mnisaide ili niweze kufunguka.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Kama unayo au unielekeze namna ya kuzipata ntashukuru sana. Huwa najiuliza wanaoandaa vitabu wanaitumia nini sipati majibu, naomba mnisaide ili niweze kufunguka.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.