Vp pepa ilikuajeNdugu zangu nimeitwa kwenye usahili wa ICT TECHNICIAN TRA
kwa wale waliowahi kufanya hebu msaada kidogo wa nondo za maswali ya ICT TECHNICIAN
Pepa ilikuwa imesimama kidogo mtihani ulikuwa wa multiple choice ila kwene maelezo walileta maswali ya utofautisheVp pepa ilikuaje
Hv bado tokeo zenu hawajatoa tu.. au wanawaacha mshereheke x-max & Mwaka mpya then waje kuwakanda.. PSRS wanajua kweli kucheza na akili za watu
Bado tunayasubiri kwa hamu tujue tunaenda dodoma au lahHahahaha! Basi namimi nilipouona huu uzi nikajua matokeo yao tayari yako hewani, kumbe ni uzi wa kipindi cha nyuma.
Mkuu ulitoboa?Ndugu zangu nimeitwa kwenye usahili wa ICT TECHNICIAN TRA
kwa wale waliowahi kufanya hebu msaada kidogo wa nondo za maswali ya ICT TECHNICIAN
Usikute wenzetu wapo kazini tayari.Bado tunayasubiri kwa hamu tujue tunaenda dodoma au lah
Hapana sio kweli mkuuUsikute wenzetu wapo kazini tayari.