Msaada wa nini cha kufanya baada ya panya kula pesa

Msaada wa nini cha kufanya baada ya panya kula pesa

Pole. Ila ujitahidi kiweka sehemu salama, na ambayo hao panya hawawezi kufika.

Halafu ununue na dawa ya kuwaua bhana. Unaishije na panya waharibifu kiasi hicho!!
 
Pole sn,peleka benk wanapokea,na hata baadhi ya vituo vya mafuta
 
Kuishi na panya ni mwiko, inakuwaje unaishi na panya zenye dharau Hadi kula Hela, kanunue dawa ya buku wataisha wote, all in all peleka benk hizo pesa
 
Peleka pale BOT....pale Wana kitengo Cha kubadilisha zilizochakaa au kupata majanga kama hayo.....

Niiliwahi kuunguliwa na fedha kama laki tatu.....vikabaki vipande kama nusu ya noti.....nilivyofika nakumbuka nilipewa karatasi nyeupe na gundi.....

Nikazigundisha kwenye karatasi na kuzikata mfano wa noti..... alafu zipigwa kitu kama mihuri na signature pale dirishani alafu nikaelekezwa kwenye mlango Fulani huko ndio nikapatiwa fedha mpya kabisa......

Na hapo ndio nikajua wanakopeleka hela wale jamaa wa kununua hela mbovu mitaani.....

Kama nitakuwa nakumbuka sawa...pesa iliyopata majanga kama moto au kuchanwa inarudishwa kulingana na kiwango Cha uharibifu.....
 
Wale wenzangu wenye mpango wa kuondoa Fedha benki kukwepa tozo,,,muwe makini mnapoweka zikikoswa na panya watu zinakutana na panya buku[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Peleka pale BOT....pale Wana kitengo Cha kubadilisha zilizochakaa au kupata majanga kama hayo.....

Niiliwahi kuunguliwa na fedha kama laki tatu.....vikabaki vipande kama nusu ya noti.....nilivyofika nakumbuka nilipewa karatasi nyeupe na gundi.....

Nikazigundisha kwenye karatasi na kuzikata mfano wa noti..... alafu zipigwa kitu kama mihuri na signature pale dirishani alafu nikaelekezwa kwenye mlango Fulani huko ndio nikapatiwa fedha mpya kabisa......

Na hapo ndio nikajua wanakopeleka hela wale jamaa wa kununua hela mbovu mitaani.....

Kama nitakuwa nakumbuka sawa...pesa iliyopata majanga kama moto au kuchanwa inarudishwa kulingana na kiwango Cha uharibifu.....
Nipo mbali kidogo na dar ila nitajitahidi wiki hii nifike hapo bot
 
Jiue commit suicide. The only best solution to encounter and challenge problems.
Mathayo 12:36-37
[36]Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.
[37]Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
 
Mathayo 12:36-37
[36]Basi, nawaambia, Kila neno lisilo maana, watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu ya neno hilo siku ya hukumu.
[37]Kwa kuwa kwa maneno yako utahesabiwa haki, na kwa maneno yako utahukumiwa.
Mkuu jiue tu hamna namna
 
Screenshot_20220823-164851_AliExpress.jpg
 
Back
Top Bottom