Mokaze
JF-Expert Member
- Aug 3, 2018
- 14,370
- 14,956
Zilizobaki peleka banki,unaogopa tozo utalipa zaidi.View attachment 2332306
Panya wametafuna pesa zangu zaidi ya laki tano,pesa zingine wametafuna kabisa
Nikizipeleka benki watazikubali kweli kwa hizi nilizo zipiga picha
Hizi panya ni zamaajabu iwaje zile hela tu kwenye drow ya kabati Tena note za elfu 10 tu elfu tano hazijaguswa kbs,halafu ziache chakula mezani
Think twice,mimi sifugi panya.
Njoo nikuuzie paka uondokane na mateso ya panyaWametoboa chini ya usingi wa nyumba wakaingia ndani
Tumia hata kibubu ndugu...... dah!!!!!Hayo ndiyo matatizo ya kutotumia vyombo vya usalama vilivyopo kuhifadhi fedha yako. Benki watazikubali wakithibitisha baada ya wewe kutoa kipande kimoja cha noti hakuna mwingine atakayekuja na kipande kingine cha noti hiyo hiyo moja. Noti ulizoonyesha zinaonekana zina sehemu kubwa ya noti. Hivyo, hakuna mtu atakayepeleka vile vipande vidogo vinavyokosekana. Kwa hiyo, benki watazikubali.
Baada ya benki kukubadilishia hela yako, liwe fundisho kwako jinsi ya kuhifadhi hela yako.
BOT ndio uhakika. Hawa wengine hawa mara maji kupwa mara kujaa.benki wanazipokea hizo zipeleke
Sio lazima Dar.Nipo mbali kidogo na dar ila nitajitahidi wiki hii nifike hapo bot
Afuate ushauri wako ni ushauri mzuriBOT ndio uhakika. Hawa wengine hawa mara maji kupwa mara kujaa.