Msaada wa mtu anayefanya kazi Muhimbili

mind ur bussness

JF-Expert Member
Dec 15, 2016
1,050
739
Jaman nna mgonjwa wangu nimekuja kutibiwa hapa mhimbili so naomba kama kuna mtu humu anafanya kazi hapa, naomba tuwasiliane anipatie mwongozo wa namna ya kupata matibabu kwa haraka,

Au hata yeye pia akijitoa kunisaidia sio mbaya,

Tutaelewana tu.

Ahsanten.
 
Back
Top Bottom