wadada bwana!! sijui mawazo yenu yakoje. mnachowaza nyie ni kuvaa shela, kuonekana mmeolewa na kuozesha basii!!! huwa hamjali kabisa furaha ya watu kwenye hiyo ndoa.
usikute hata hii wanaolazimisha ni kina mama na dada. madingi yako pembeni yanakunywa ndovu.
sio wanawake wote ni wa kuolewa na sio wanaume wote wanafaa kuoa. acheni kulazimisha mambo.