why unusuru? nyinyi kunywa na kula na michango ni muhimu kuliko wenzenukuingia mkenge?
the brest cha kufanya ni kusogeza mbele ili muwape muda wa kutafta suluhu,ikishindikana basi
Hiki ni kipindi kigumu sana.....binti aendelee kukataa kuwa hamfahamu lakin aombee msamaha coz imetokea kwenye cm yake na hata yeye mwanaume inaweza mtokea.
Hiyo ndoa ikipeperuka katika misingi hiyo ya binti kuonekana si mwaminifu basi kuolewa kwake itakuwa historia
why unusuru? nyinyi kunywa na kula na michango ni muhimu kuliko wenzenukuingia mkenge?
the brest cha kufanya ni kusogeza mbele ili muwape muda wa kutafta suluhu,ikishindikana basi
Kitendo cha mwanamke kufanya kosa nikamwambia afu akakataa wakati ni kweli HUWA NASIKIA KUTAPIKA, Inaonekana huyo mdogo wako ana tabia mbaya , sio kila mwanamke huwa anatakiwa kuolewa rudisheni michango ya watu.
wadada bwana!! sijui mawazo yenu yakoje. mnachowaza nyie ni kuvaa shela, kuonekana mmeolewa na kuozesha basii!!! huwa hamjali kabisa furaha ya watu kwenye hiyo ndoa.
usikute hata hii wanaolazimisha ni kina mama na dada. madingi yako pembeni yanakunywa ndovu.
sio wanawake wote ni wa kuolewa na sio wanaume wote wanafaa kuoa. acheni kulazimisha mambo.
Hiki ni kipindi kigumu sana.....binti aendelee kukataa kuwa hamfahamu lakin aombee msamaha coz imetokea kwenye cm yake na hata yeye mwanaume inaweza mtokea.
Hiyo ndoa ikipeperuka katika misingi hiyo ya binti kuonekana si mwaminifu basi kuolewa kwake itakuwa historia