Msaada wa mawazo

SIR.NOM

Member
Sep 8, 2012
78
24
mechaguliwa kujiunga na masomo ya udaktari 2012/2013 shahada ya 1 yani undergraduate-chuo cha IMTU kpo DAR,ada ni sh.6,250,000/= ukiachia na gharama nyingine ndogondogo km vle direct cost,bodi ya mikopo wananipa sh.2,600,000/= tu lakn hali yangu ya kiuchumi inabana sana,naomba msaada wenu,ushauri nifanyaje ili niweze kuitumia nafasi hii na ninaipenda sana tena sana kutyoka damni,na tar.ya kuripot ni kuanzia 29/09/2012.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom