kwenye vyakula wanashauri ule ambavyo havijakobolewa au kukaangwa sanaa ugali Dona, mihogo, viazi, maharage mabichi, mbog za majani kwa wingi zichemshwe kidogo, matunda
ila hapo kwa mdada usimtese tafuta plan B yakukeep mindset yake busy asije tafuta mchempuko mtoe out nyingi ila kwenye public place uvumilivu usije ukawashinda