Wanaume wenzangu nahitaji msaada, ni muda sasa nahisi kama performance yangu kwa bed kwa kweli sio nzuri.
Haswa ikizingatiwa mimi bado kijana halafu kwa shot nnazopiga naona kabisa hata mzee wa miaka mingi anaweza kunizidi (hazina quality) Kitu ambacho nahisi simtendei haki kijana mwenzangu.
Sana sana nna tatizo la pumzi halafu nawahi sana...
Nimeamua nianze huu mwezi kujitafakari na nimemweleza kimwana wangu anipe mda kama miezi miwili hivi nione kama naweza weka mambo sawa.
Kwa hali ilivo na namna huyu mwanamke alivo mrembo naona kuna risk huko mbele ya kuja kugongewa ndo maana nimedhamiria kuchukua haraka na za dharura.
Ila sasa ningependa ushauri kutoka kwenu maana kwanza nataka binafsi nibadili system ya maisha
1) Kwenye misosi (diet).. Hapa nahitaji msaada wa vyakula gani vya kutumia ili viniimarishe ... Ningependa kupata list maana sasa nimejipanga kupanga bajeti kabisa ya diet.
2) Mazoezi... Hapa pia nataka ushauri wa mazoezi gani ya kuyazingatia.. Binafsi nimeanza na mazoezi ya kuongeza pumzi.. Sana sana push up, squat na kata tumbo na kuruka kamba.. Ntaomba nyongeza pia hapa...
Ningeomba nyongeza ya msaada wa mawazo maana nnajipa mwezi mmoja na nusu ama miwili wa diet na mazoezi then nije kutest outcome itakuwaje.. So kama kuna nyongeza ningefurahi zaidi..
... Wanawake pia mnaruhusiwa kuchangia maana mnatuelewa zaidi..
Asanteni sana..
Sent using
Jamii Forums mobile app