mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,093
- 4,912
Kama sikosei inaitwa kegel mkuu ila wajuvi wa haya mambo wapoHii nimesema wataalamu waje, sikumbuki hata jina la huo mshipa wenyewe, ila mazoezi yake yanasaidia sana. Mi nilishawahi kuyasoma mahali miaka ya ujana, na yalinisaidia sana. Nilisema, kikubwa ni mindset tu.
Sent using Jamii Forums mobile app