Msaada wa mawazo wanaume wenzangu..

Hapana bado sijaoa mkuu ni girlfiend tu ila pia nataka awe mke Mungu akijaalia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mkuu kwa ushauri.. Ntafanyia kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo dawa ni uile papuchi mfululizo kama wki hv mashine itazoea na utarudi kawaida na utakuwa na confidence
 
Well ngoja niseme ukweli hapa.... Kuna baadhi ya mambo yalinitokea kuanzia miaka kama 5 iliyopita kama si 7 nikawa mtu mwenye stress mno za maisha.. Ikawa sina mpenzi kwa mda mrefu so nikawa najifariji kwa pull ila pia nilikuwa mtu mwenye mawazo mno kwa kama miaka miwili straight na afya yangu haikuwa nzuri..

So i think this can be the reason..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mda mfupi mno kuupima kwa kweli..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wewe huna tatizo
Cha msingi badili mtindo wa maisha, pia punguza mawazo maana nayo yanachangia kwa kiasi kikubwa sana
 
Hahaha. Wanaume idea hiyo ikitikisika kidogo mnakuwaga wapoleeeehata uambiwe mkojo wa punda dawa utakunywa kama mma.
Mrembo upo? Yaan bora huyu kasema ukweli wake...wanaume wengi ni wachovu wa kutupwa kitandani lakini hawataki kukiri hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…