Msaada wa mawazo tafadhali, pamoja na ushauri

Msaada wa mawazo tafadhali, pamoja na ushauri

biee

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2013
Posts
332
Reaction score
116
Habari zenu wakuu. Nimemaliza form four mwaka Jana. Nina bios b, Chem c, physics d, engl b Na masomo yalobaki E. Sasa niliomba ordinary dipl ya maabara na nursing. Unfortunately nimekosa. Kwa kwa kweli nimestuck sielewi nini cha kufanya as inaonesha nimekosa sababu sina pass ya math. Optn nayoiona kwa sasa ni comunity health ambayo in cheti ambayo siijui wala sielewi huko badae utafanya nini na wapi?. Pia upatikanaji wake wa ajira ukoje. Msaada wenu tafadhali wa nini cha kufanya. Asanteni
 
sasa dogo hata pass ya maths ya BRN inakushinda kweli? subiri watakuja kukusaidia usihofu
 
sasa dogo hata pass ya maths ya BRN inakushinda kweli? subiri watakuja kukusaidia usihofu

I am sure we ndo dogo Sema tu hujajielewa. Ulivoona huna cha kuchangia ungepita kimya kimya. Sio lazima kutujazia server!
 
Dogo nenda vyuo vya private utapa CLINICAL MEDICINE na hutajutia maisha yako kamwe... Ila community health sina uhakika kama ipo chini ya wizara ya afya, ila pia waweza kuomba Environmental Health Science
 
uliomba kozi ya afya chuo gani mpaka umekosa?
na je uliomba kupitia tovuti ya CAS au ulijaza fomu hardcopy..?

pole sana, usikate tamaa, hiyo community health kupata ajira ni ishu... lakini unaweza ukaisoma halafu kadri unapanda level ukabadili na kusoma kitu kingine.
 
Back
Top Bottom