Nina mpango wa kumuoa binti MSUKUMA kwani nawapenda kweli! Hivyo basi nimeamua kuwashirikisha hili ili tubainishane mabaya na mazuri kwa hawa wenzu wasukuma. Yaan kama wanafaa kuwa wake au laah, kama kupatikana kwao kuna vigezo au lah na hata sifa zinginezo! Kazi kwenu wadau!!