Samahani kwa kuusoma mstari mmoja wa juu kisha nikaanza kuandika hili....
Natanguliza pole sana kwako....
Naomba niseme hivi kuliko kupoteza muda wako kuanza kufikiria,kutaka au kufukunyua simu ya mwenzako wa karibu hasa msichana au mwanamke huko ni kuitesha akili yako.....
ACHA ACHA ACHA
tena acha kabisa, mwanamke au msichana ni mtu asiyetabirika ndio maana hakuna mwanadamu anayejua nyoka na wao walizingumza na walikubaliana nini pale bustanini zaidi ya sisi vidume kupokea tunda na kula
Niliwahi kufanya unachokifanya lakini niliwahi kuambiwa nimuache awe huru, hilo neno nilikuja kulielewa baada ya miezi 4 kupita, kaka fanya kazi,tafuta hela achana na biashara kichaa hiyo ya kufukunyua simu utakachokikuta kitakuumiza ni bora kikuumize wakati hujakiona kuliko utakapo kiona
Ni ushauri tu