Hahahahahahaha ndio maana tunakutafuta atukuonii kumbe upo huku JF mh?Ni makubaliano tu, hakuna muda maalum. Mwenyewe nimeweka kishika uchumba kuanzia mwezi Machi nikaingia mitini mpaka sasa.
Samahani wadau, nauliza inachukua muda gani mtu akikupa hela ya uchumba mpaka kuja kutoa mahari( kujitambulisha)?
Mpenzi wangu kanipa hela ya uchumba mwezi huu atakuja mwezi wa pili. Je, ni sawa?
Samahani wadau, nauliza inachukua muda gani mtu akikupa hela ya uchumba mpaka kuja kutoa mahari( kujitambulisha)?
Mpenzi wangu kanipa hela ya uchumba mwezi huu atakuja mwezi wa pili. Je, ni sawa?
Kakupa wewe hela ya uchumba au kawapa wazazi mkuu?au kakuhonga kwa kumpa mzigo we unasema uchumba!
Mkuu hebu sema wewe hicho ni kishika uchumba kama kapewa yeyey mwenyewe?be honest!JF ni tam mbayaaaa iakutanisha watu na visa mbali mbali vituko vya kila aina toka pande zote za dunia
Inategemea na makubaliano yenu kma ameshaleta barua na ukakubali kuwa utaolewa na wazaz wakakuuliza tujibu barua hii ukasema ndio bac wazaz wabawajibu wazaz wa upande wa mwanaume then wao watawaambia lini wanaleta hyo mahali na hapo ndipo watapanga kabsa tarhe ya ndoa.huo ni uelew wngSamahani wadau, nauliza inachukua muda gani mtu akikupa hela ya uchumba mpaka kuja kutoa mahari( kujitambulisha)?
Mpenzi wangu kanipa hela ya uchumba mwezi huu atakuja mwezi wa pili. Je, ni sawa?
Hahahahah ndo mimi, mnisubirie tu mpaka nipate bingo.Hahahahahahaha ndio maana tunakutafuta atukuonii kumbe upo huku JF mh?