Rossoneri
Senior Member
- Mar 29, 2015
- 141
- 146
Naomba kufahamu upatikanaji na gharama za mashamba ya kununua katika mkoa wa Morogoro hasa kwa maeneo ya ifakara,mahenge,malinyi,itete,mang'ula na maeneo mengine kuacha wilaya hizo.naomba msaada kwa wenyeji wa maeneo hayo.
Maeneo yakiwa kwenye ardhi ambayo haijatumika kwa maana ya pori na uwezekano uwepo wa chanzo cha maji itakua vizuri zaidi.
Maeneo yakiwa kwenye ardhi ambayo haijatumika kwa maana ya pori na uwezekano uwepo wa chanzo cha maji itakua vizuri zaidi.