Mangandula
Senior Member
- Nov 30, 2011
- 184
- 37
Heri ya mwaka mpya wana jamvi. Naomba msaada wa kuifanyia ujanja modemu yangu ya voda ili nitumie mitandao yote. Pili naomba msaada wa jinsi ya kuanzisha blog yangu, ni hayo machache nawakilisha. Anayeweza kunisaidia ani pm.