ninafanya kazi posta karibu na NBC.... nahitaji nyumba ya kuishi angalau yenye chumba kimoja (master) na sebule.
napendelea maeneo ya sinza, kigamboni, kurasini au sehemu yeyote ambayo ni rahisi kufika ofisin.
Sina familia kwa sasa... Naomba msaada tafadhali coz sina uzoefu sana na namna ya kupata nyumba ya kupanga dar
asanteni
napendelea maeneo ya sinza, kigamboni, kurasini au sehemu yeyote ambayo ni rahisi kufika ofisin.
Sina familia kwa sasa... Naomba msaada tafadhali coz sina uzoefu sana na namna ya kupata nyumba ya kupanga dar
asanteni