Mkuu kupata actual cost inahitaji kuusoma mchoro vizuri. Pia eneo lako likoje na liko wapi? Mm naweza kukufanyia hizo estimate kwa gharama ya tshs 30000 tu. KaribuMSAADA WA MAKADIRIO YA RAMANI HII KTK KUNYANYUA BOMA NA KUEZEKA ,MSINGI NILIJENGA MWANZONI KABISAA
View attachment 2399026
8 - 10mMSAADA WA MAKADIRIO YA RAMANI HII KTK KUNYANYUA BOMA NA KUEZEKA ,MSINGI NILIJENGA MWANZONI KABISAA
View attachment 2399026
Mkuu unaposema eneo likoje unamaanisha nini?Mkuu kupata actual cost inahitaji kuusoma mchoro vizuri. Pia eneo lako likoje na liko wapi? Mm naweza kukufanyia hizo estimate kwa gharama ya tshs 30000 tu. Karibu
Shukrani sana kaka nilichohitaji nikujua tofali ngapi,bati ngapi, cement mifuko mingapi bajeti yangu kunyanyua BOMA hadi kuezeka ipo 15M lakini site Iko jijini MwanzaHiyo andaa 14 Million
Ahsante bossMkuu kupata actual cost inahitaji kuusoma mchoro vizuri. Pia eneo lako likoje na liko wapi? Mm naweza kukufanyia hizo estimate kwa gharama ya tshs 30000 tu. Karibu
Wakati mwingine tuwe fair kidogo. Unataka mtu ajipinde afanye mahesabu yote hayo bila malipo yoyote? Mimi naungana na PAUL Building kuwa kama anataka kupata mahesabu yanayokaribia hali halisi, ni bora alipe ili afanyiwe kwa umakini. Vinginevyo kama kuna mtu anayetaka kutoa sadaka ya kumfanyia bure basi ni vizuri zaidi.Mkuu unaposema eneo likoje unamaanisha nini?
Yeye kasema msingi alishajenga tayari, hivyo anahitaji kujua gharama kujenga boma na kuezeka. Vipimo vipo kwenye mchoro. Fanya mahesabu ya matofali, idadi zidishakwa bei.
Ugumu ni huko juu (kuezeka) maana plan ya paa haipo hapo.
Kama unaweza umdizainiye paa, tafuta idadi ya boriti za kenchi, lati na idadi ya mabati. Zidisha idadi ya vifaa hivyo kwa bei ya kila kimoja (boriti, lati, mabati,). Kuna misumari (ya bati na ya kawaida-inch 4 na 3)
Kuhusu mafundi ataelewana mwenyewe. Wewe mfanyie mahesabu ya vifaa.
Kidogo ndg ngoja tujaribu tupate pakujifichaRamani tamu sana mkuu. Nimependa master yake
Hii ina Jumla ya tofali ngapi mkuuMSAADA WA MAKADIRIO YA RAMANI HII KTK KUNYANYUA BOMA NA KUEZEKA ,MSINGI NILIJENGA MWANZONI KABISAA
View attachment 2399026