Msaada wa Laptop ya bajeti kati ya 850k hadi 1.5m

Allydasmartboy001

JF-Expert Member
Jul 14, 2018
599
206
Habari za muda huu naitaji ushauti wenu wa laptop nzuri ya kununua maana nilikuwa natumia hp notebook core i7 cpu 2.6. Ingawa kwasasa nimeiuza.

Nahitaji laptop nyingine ya bajeti hiyo na zifikilia sana macbook hasa kuanziamacbook air ya 2015 maana mm napenda sana laptop slim kwa upande wa laptop za Macboook sijawahi kutumia kabisa ingawa najua vitu vichache tu(Tofauti ya Macbook air na macbook pro).

Naomba mwenye elimu zaidi naomba anisaidie hasa kwenye mambo ya ulinzi,ubora wake kwa upande wa hardware na software na changamoto zake pia ila kwa upande wa hizi laptop zingine mimi ni mpenzi wa laptop za HP na model nazo ziitaji ni spectre,envy na pavillion zenye hizi sifa. Generation kuanzia 10 na kuendelea.

Core i7
Ghz iwe kwanzia 2.6

Matumizi yangu mm ni ya kawaida tu Siyo mtu wa game kabisa ni mtu wakupiga tu kazi online mfano upwork kusikiliza music kuangalia movie na kusoma vitabu tu.

Ngoja niweke swali langu au shida yangu kwa kifupi zaidi nataka kujua kwa bajeti ya 850K hadi 1.5M kati ya HP SPECTRE,ENVY NA PAVILLION VS MACBOOK ipi Laptop nzuri?
 
Nakushauri uachane na hayo malaptop,,

Hiyo bajeti yake nakushauri uitumie kunywa Bia na kuwanunulia warembo vijizawadi na wao wakuzawadie mautamo.

Siki za kufa zii njiani na hakuna atakaesalimika.

Sasa wewe laptop itabaki na nani?.

Si ni aheri unywe bia hata ukifa ufe ukiwa mzito jameni.

Chukua ushauri huu na hakika utakuja kunishukuru
 
Kama unaweza subiria laptop za Alderlake, zitafanya laptop zote za sasa kuwa outdated specs wise.

I5 za kawaida za aldarlake zina nguvu kushinda i7 zenye core 8 na thread 16.
 
Laptop nzuri ni ile inayokidhi matumizi yako.

Brand si hoja, isipokuwa kama nayo ni miongoni mwa hayo matumizi yako, kitu ambacho ni nadra sana.

Kwa hayo matumizi yako wala hauhitaji processor kubwa kiasi hicho. Hata cores mbili (2) tu zinakutosha kabisa, kuanzia generation ya 8. Labda kama unataka kufanya 'future proofing' ili itumike kwa muda mrefu zaidi.

Kuhusu movies na kusoma vitabu, zingatia display features kama size pamoja na native resolution. Kwa kuangalia Full HD movies (1080p), zingatia yenye Full HD display ili kupata picha bora zaidi.

Ila gharama ni changamoto maana kuna baadhi ya kampuni zinaweka Full HD display kwenye laptop za viwango vya kati (mid-range) na vya juu pekee (high-end) ukizingatia pia kwamba Full HD display inahitaji nishati (processing power) zaidi kuliko display ya chini ya hapo.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Nakushauri uachane na hayo malaptop,,

Hiyo bajeti yake nakushauri uitumie kunywa Bia na kuwanunulia warembo vijizawadi na wao wakuzawadie mautamo.

Siki za kufa zii njiani na hakuna atakaesalimika.

Sasa wewe laptop itabaki na nani?.

Si ni aheri unywe bia hata ukifa ufe ukiwa mzito jameni.

Chukua ushauri huu na hakika utakuja kunishukuru

Nimecheeka napasuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom