Msaada wa kuweza kupata mtoto

Msaada wa kuweza kupata mtoto

jenereta

Senior Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
146
Reaction score
40
WanaJF, naombeni msaada wenu
Nimeoa mwaka jana, na nampenda sana mke wangu, nampenda sana, lakini toka mwaka jana sijabahatika kupata mtoto, ingawaje kuna siku nilimkuta analia, nikamuuliza unalia nn akasema, ameingia kwenye siku zake while ana hamu ya kupata mtoto, nikamwomba a-calm down though hata mm iliniuma sana.
Hatujaenda bado hosp, lakini naombeni msaada kama kuna watu mna xperience na haya mambo kabla sijaenda hospitali, na tumevizia siku za hatari lakini wapi, please, naombeni msaada wenu wapendwa, natamani sana mtoto.
Asante
 
Angalia yamkini mnamtafuta mtoto kwa bidii kiasi kwamba mnafanya mapenzi kila siku inapo fika siku ya kurutubisha yai shahawa zinakua hazijakomaa (imature) pia kuna Rh factors, tofauti ya pH katika mikojo na sababu zingine nyingi za kisayansi
 
WanaJF, naombeni msaada wenu
Nimeoa mwaka jana, na nampenda sana mke wangu, nampenda sana, lakini toka mwaka jana sijabahatika kupata mtoto, ingawaje kuna siku nilimkuta analia, nikamuuliza unalia nn akasema, ameingia kwenye siku zake while ana hamu ya kupata mtoto, nikamwomba a-calm down though hata mm iliniuma sana.
Hatujaenda bado hosp, lakini naombeni msaada kama kuna watu mna xperience na haya mambo kabla sijaenda hospitali, na tumevizia siku za hatari lakini wapi, please, naombeni msaada wenu wapendwa, natamani sana mtoto.
Asante

Kwanza pole sana kijana mwenzangu maana najuwa hali hii ni ya kila mmoja ila isipo kukuta inabidi umshukuru Mungu kwa yote.
Mm ningependa kukushauri,ukamuone daktari coz hata tukitoa ushauri hauta lingana na ule atao kupatia daktari kwakuwa yeye ndiye mwenye kujua matatizo haya zaidi

Pole sana na jipe moyo ndugu yangu,mambo yatakuwa sawa tu mkurugenzi wangu wala usiogope kwa hilo.
 
WanaJF, naombeni msaada wenu
Nimeoa mwaka jana, na nampenda sana mke wangu, nampenda sana, lakini toka mwaka jana sijabahatika kupata mtoto, ingawaje kuna siku nilimkuta analia, nikamuuliza unalia nn akasema, ameingia kwenye siku zake while ana hamu ya kupata mtoto, nikamwomba a-calm down though hata mm iliniuma sana.
Hatujaenda bado hosp, lakini naombeni msaada kama kuna watu mna xperience na haya mambo kabla sijaenda hospitali, na tumevizia siku za hatari lakini wapi, please, naombeni msaada wenu wapendwa, natamani sana mtoto.
Asante
TAHADHARI,,,,,Unywaji wa dawa pasipo kupimwa ili kufahamu tatizo ni HATARI ZAIDI
Kaka pole.ila hapo hakuna short cut,cha msingi mchukue mkeo na kwenda kufanyiwa chek up mana kuna mambo mengi yana sababisha kutopata mtoto
sikushauri vingine na usitumie dawa pasipo vipimo na ushauri wa dak,
 
......msitafute! ...kama furaha inavyokuja, wakati wake ukifika mwenyezi mungu atajaalia mtoto.

Mshawahi kujiuliza kwanini mnamuhitaji mtoto? Ndoa yenu bado changa sana, msikaribishe tensions.
 
pole sana mkuu kawaone wataalamu wa masuala ya uzazi wakikupa majibu yafanyie kazi pia jaribu kufanya maombi mungu hamtupi mja wake amkumbukay.
 
Nenda CCBRT kamuone Dr.Almas atakusaidia,usinywe dawa yeyote kabla haujajua tatizo.
 
......msitafute! ...kama furaha inavyokuja, wakati wake ukifika mwenyezi mungu atajaalia mtoto.

Mshawahi kujiuliza kwanini mnamuhitaji mtoto? Ndoa yenu bado changa sana, msikaribishe tensions.

Kuweni na amani, bado mapema mno... msiangalie watu wanawaonaje, jiangalieni ninyi mnaishi vipi, watoto ni majaliwa.....
 
Kwanza pole sana kijana mwenzangu maana najuwa hali hii ni ya kila mmoja ila isipo kukuta inabidi umshukuru Mungu kwa yote.
Mm ningependa kukushauri,ukamuone daktari coz hata tukitoa ushauri hauta lingana na ule atao kupatia daktari kwakuwa yeye ndiye mwenye kujua matatizo haya zaidi

Pole sana na jipe moyo ndugu yangu,mambo yatakuwa sawa tu mkurugenzi wangu wala usiogope kwa hilo.

nashukuru sana kaka Musa. Asante sana ndugu yangu
 
Kwanza nendeni hospital mkamuone dk. Ndipo mjuembivu na mbichi,
 
Nashukuruni sana ndugu zangu, japo ni muda mfupi lakini mmenifariji na kunitia nguvu, leo asbh nimeongea na mke wangu tumeshauriana kwenda hosp CCBRT kumuona Doctor Almas kama mmoja wa mwana jamvi alivyotushauri. Tupo njiani. Nashukuru sana wapendwa. Nitakuja kuwapa majibu. Kazi njema
 
nashukuruni sana ndugu zangu, japo ni muda mfupi lakini mmenifariji na kunitia nguvu, leo asbh nimeongea na mke wangu tumeshauriana kwenda hosp ccbrt kumuona doctor almas kama mmoja wa mwana jamvi alivyotushauri. Tupo njiani. Nashukuru sana wapendwa. Nitakuja kuwapa majibu. Kazi njema

mungu awatangulie na awatimizie haja ya mioyo yenu.

Lakini.....

Mumejiandaa kulea mwanaaaaaa?...au mnataka mtoto kesho muanze kugombana..karo ya nursery school, matibabu mavazi, shule za academy, vyuo vikuu vya malysia na india etc...mumeyaona haya wakuu au ndio mnataka kutengeneza watoto wanaofuta vioo vya magari kwenye traffic lights.

Tafakarini kisha muchukuwe hatua na mungu awaongoze kwenye tafakuri zenu.
 
Back
Top Bottom