WanaJF, naombeni msaada wenu
Nimeoa mwaka jana, na nampenda sana mke wangu, nampenda sana, lakini toka mwaka jana sijabahatika kupata mtoto, ingawaje kuna siku nilimkuta analia, nikamuuliza unalia nn akasema, ameingia kwenye siku zake while ana hamu ya kupata mtoto, nikamwomba a-calm down though hata mm iliniuma sana.
Hatujaenda bado hosp, lakini naombeni msaada kama kuna watu mna xperience na haya mambo kabla sijaenda hospitali, na tumevizia siku za hatari lakini wapi, please, naombeni msaada wenu wapendwa, natamani sana mtoto.
Asante
Nimeoa mwaka jana, na nampenda sana mke wangu, nampenda sana, lakini toka mwaka jana sijabahatika kupata mtoto, ingawaje kuna siku nilimkuta analia, nikamuuliza unalia nn akasema, ameingia kwenye siku zake while ana hamu ya kupata mtoto, nikamwomba a-calm down though hata mm iliniuma sana.
Hatujaenda bado hosp, lakini naombeni msaada kama kuna watu mna xperience na haya mambo kabla sijaenda hospitali, na tumevizia siku za hatari lakini wapi, please, naombeni msaada wenu wapendwa, natamani sana mtoto.
Asante