https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=60428&stc=1&d=1343802942napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwa wale wote wanaotusaidia kuujua zaidi ulimwengu wa comp.
Bila kupoteza muda modem yangu ni ya ZTE
model: MF 190
imei: 865720012089832
asanteni sana wakubwa, imekubali. Lakini sina haja ya kuupdate firmware yake? Maana kuna mtu aliniambia baada ya kuiunlock inabidi uupgrade firmware.
Narudia tena kuwashukuru kwa moyo wenu wa kusaidia na ukarimu. Mmbarikiwe!