Kasanghwa Member Oct 27, 2017 33 34 Oct 19, 2020 #1 Jamani naomba kwa mwenye uelewa anifahamishe, nawezaje kutumia line ya nje ya Tz, "omantel" to be specific hapa Tanzania?
Jamani naomba kwa mwenye uelewa anifahamishe, nawezaje kutumia line ya nje ya Tz, "omantel" to be specific hapa Tanzania?
Smart911 Platinum Member Jan 3, 2014 119,134 141,957 Oct 19, 2020 #2 Ngoja waje kukupa muongozo... Cc: mahondaw
GreatSeal JF-Expert Member Jul 11, 2015 1,773 3,061 Oct 19, 2020 #3 Jiandae na charges za kutosha manake utakua roaming, inawezekana ila itakua roaming the only thing u can do for free ni whtsapp kwa line ya nje
Jiandae na charges za kutosha manake utakua roaming, inawezekana ila itakua roaming the only thing u can do for free ni whtsapp kwa line ya nje