Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,857
Nakubaliana nawe.......hamna Sony inayosoma G kubwa vile ....hiyo Sony copy
Ataje model yake tumuhakikishie
Nakubaliana nawe.......hamna Sony inayosoma G kubwa vile ....hiyo Sony copy
Ni kwelHiyo simu ni fake,Sony haiko hivyo
HIYO NI CLONE NA KUNA UWEZEKANO IMEFUNGIWAShida uliyonayo ni kama yangu natumiani nitapata MAJIBU kupitia thread hii
Wakuu nifanye nini sasa
Jombaaa haina cha model ile ni magumashiii tuuAtaje model yake tumuhakikishie
z4 ulinunua wapi hii simu?most of now Sony experia are fake .....mi nshawah badilisha sim mbili za aina hiyo tena Z4...... nakushuri uhamie tu huawei
Kama upo dsm jaribu kwenda kariakoo pale kuna wajanja wa hayo mambo usikate tamaa.mkuu.